TCU hawachagui kwa usawa

TCU hawachagui kwa usawa

Jamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl

Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....

Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??

Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit

Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!


Hayo majina ya Bachelor ya Udsm yametoka lini au umeyaona wewe peke yako Alfredtz
 
hapo nakushauri nenda kabadili vyuo uongeze vingine idad uinaonesha wenghi walioomba UDSM ndio wameambiwa wrudie nd2 round ...think twice dar ipo tu utakuja kufanya kazi c lazma
ussome

haha lol! kumbe kukaa Dar napo dili...

Thanks God i was Born and Raised in Dsm , Dar Es Salaam is Tanzania and Tanzania is Dar Es Salaam
 
Jamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl

Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....

Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??

Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit

Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!
huenda matokeo yao ya olevel yamewabeba
 
Mdogo wangu amekuwa selected ila chuo bado hajajua na alisoma PCM alipata three ya 13 yaan CEE hiyo C ya mathe lakin nahisi wanaangalia zaidi na mtihan wa fm 4 maana alifaulu vizuri .
 
Kwan pharmarcy wamerudisha pcm kuweza kusoma? Then ulchagua hzo coz 3 tyu?
 
naombeni anayejua kujaza index number ya o leval kwenye form ya necte
 
Your take ni Kweli mfumo wa TCU ulitakiwa uanze na Mwenye cutt off nying from 3 subject mfano wewe una BCC 4+3+3 =10 total sasa apa unakuta mtu ana 7 anapata chuo kama UDSM electriacal afu we na kumi kama cutt off unaanchwa TCU awako fair kabisa ,Am doubt sijui wanaapply FI-FO na LI-FO yaan First in -First out and Last in First out ,
BCC IS 8 NOT TEN
 
Back
Top Bottom