robby klax
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 283
- 121
Awap 2013 watu walipiga so masialaMdogo wangu amekuwa selected ila chuo bado hajajua na alisoma PCM alipata three ya 13 yaan CEE hiyo C ya mathe lakin nahisi wanaangalia zaidi na mtihan wa fm 4 maana alifaulu vizuri .
Asante kwa kumuelimisha alikuwa anachanganya wanavyohesabu point za div na cutt of point.Wanavyo hesabu NECTA na TCU tofauti.
NECTA A=1 B=2 C=3 D=4 E=5 S=6
TCU A=5 B=4 C=3 D=2 E=1 S=0.5
jamaa tambua kuwa kufaulu si akili tu ila na bahati pia inatajika......ndo maana hata level ulizopita kuna waliokuzid akil ila hawakuchaguliiwa,kuna ambao hawakuwa na akili ila leo hii umemaliza nao six!!!!!ngoja second selection kama una bahat utapaata....next time ukisoma usitegemee akil peke yake ili kusonga ila omba mungu akuweke katika wenye bahat!!!!!Jamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!
Thanx kakaaaa apoo nimeelewa Bahati ni kitu muhimu saanaaajamaa tambua kuwa kufaulu si akili tu ila na bahati pia inatajika......ndo maana hata level ulizopita kuna waliokuzid akil ila hawakuchaguliiwa,kuna ambao hawakuwa na akili ila leo hii umemaliza nao six!!!!!ngoja second selection kama una bahat utapaata....next time ukisoma usitegemee akil peke yake ili kusonga ila omba mungu akuweke katika wenye bahat!!!!!
I hope hutasahau kuhusia Generation yako pia!Thanx kakaaaa apoo nimeelewa Bahati ni kitu muhimu saanaaa
Ndugu usithubutu kukisema vibaya hicho chuo utashambuliwa wewe shauri zako ngoja waje wenye chuo chaoacheni kuchagua majina ya vyuo; chagueni vyuo bora UDSM ilikuwa miaka hiyo ya 2005 kurud nyuma';
maneno ya mkosaji [emoji38][emoji38] embu nenda kalilie hukoacheni kuchagua majina ya vyuo; chagueni vyuo bora UDSM ilikuwa miaka hiyo ya 2005 kurud nyuma';
Tatu ni ipi na mbili ni ipi?No, 3+3+2= 8 not ten. Soma vizuri alivyoandika
mkosaji wa nn mkuu:? mm huko mm nishapitamaneno ya mkosaji [emoji38][emoji38] embu nenda kalilie huko
Tatu ni ipi na mbili ni ipi?
Duuh PCM ulichagua Pharmacy ya Muhimbili,uliwaza nini mkuu?Jamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!
chagua hizi kozi mkuu...Jamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!
Umemshauri achague 'hizi course' halafu ukamuandikia kozi moja..!!! au umoja na wingi unakupa shida kio goz?chagua hizi kozi mkuu...
software engineering udom kama unapenda maswala ya computer
Na wewe kuandika "kiongozi" inakupa shida?Umemshauri achague 'hizi course' halafu ukamuandikia kozi moja..!!! au umoja na wingi unakupa shida kio goz?
LABDA UMEKOSA VIGEZO KATIKA MATOKEO YAKO YA FOUR MAANA MLIMAN SI HUWA WANA GRADE ZAO WANAZOZITAKA O LEVELJamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!