TCU & HESLB na "Amount of Loan" mbona siwaelewi?

TCU & HESLB na "Amount of Loan" mbona siwaelewi?

hivi ndio wamemaliza kutoa mikopo au kuna batch zingine zinafuata?..
 
Hiyo ela ya heslb ni kwa ajili ya accomodation & stationary allowance...gharama za ada zilizobaki ni juu yako.
 
hivi ndio wamemaliza kutoa mikopo au kuna batch zingine zinafuata?..
<br />
<br />
me nashndwa kuwaelewa nyie madogo,wasiwasi wa nin,hyo ni batch ya kwanza 2,batch huwa znaenda hadi 30 so no nid to get worry,ka mna vigezo mtapata 2 hyo loan!
 
Nashukuru mzaz.
Cn i get da source of dat isue?
Inamaana ela ya meal inakuwa pembeni?
Iyo 7500..
Hiyo ela ya heslb ni kwa ajili ya accomodation &amp; stationary allowance...gharama za ada zilizobaki ni juu yako.
<br />
<br />
 
Kweli huyo ana2mia masaburi kufkilia. Kama yeye co mtoto wa mkulima aende havard
 
course yako inahitaji kiasi gani kwa mwaka?
 
Uyu ni bwana mdogo, kapata BED-ARTS.
ahaaaa! Kama Ed. basi ni haki yake. Amekula kitu cha 100% mpe pongezi bhana. Maana wengine tuameambulia 80% lakini ni BAA.
 
Watu vichwa joto cjui inakuaje hapa.. Mkopo cjui ni 8% hii. Kila ninapopigia hesabu inag0ma. Any 0ne frm heslb here? O mwenye ukaribu nao..? Tanzanian tupambanuane am0unt na maitaji wakuu
 
Hata mimi ningependa kujuzwa maana sielewi!
Watu vichwa joto cjui inakuaje hapa.. Mkopo cjui ni 8% hii. Kila ninapopigia hesabu inag0ma. Any 0ne frm heslb here? O mwenye ukaribu nao..? Tanzanian tupambanuane am0unt na maitaji wakuu
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom