TCU & HESLB na "Amount of Loan" mbona siwaelewi?

Naendeleza shukrani za dhati. Moyo kama unaelekea kifuani kutokea miguuni.
Duh bt Y hawasemi?
<br />
<br />
 
naona kadri siku zinavyokwenda tcu ndo wanzaid kuchemsha-binafsi utaratibiu wao sijauelewa kabsa

ugumu upo wapi hapo??? unatakiwa ujue umechaguliwa kozi gani na ujue gharama/tution fee ya hiyo kozi pamoja na other charges mfano, accomodation, meal allowance, books and stationary na haya yote utayajua utakapotembelea website ya chuo husika na upate prospectus yao. so wote mliopata chuo tazameni hayo mjue gharama na mlinganishe na mlichopewa, pia mkumbuke si lazima wakupe 100%% they need to clarify more on this.
tusilalamike sana, tutoe mawazo na tuwe na kahoja kidogo ingawa mimi ni anti-wavivu wa kazi
 
Hapo ndipo ninapojiuliza, huo mkopo uliopewa ni kwa mwaka mmoja au? Maana inazidi.
Ni miaka 3&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
 
Na huu mkorogo ni kwa bigners au ni pamoja na wanaoendelea? Kwani wangefanya km cku zingne wangekufa? Why people lyk to complicate thngs bhana. Heslb wanakera....aagh!
 
Ni kwetu first year tu. 🙁
Na huu mkorogo ni kwa bigners au ni pamoja na wanaoendelea? Kwani wangefanya km cku zingne wangekufa? Why people lyk to complicate thngs bhana. Heslb wanakera....aagh!
<br />
<br />
 
Kwani vipi walipokuwa wanatoa kwa asilimia, hizo asilimia zilikuwa ni kwa ada tu na ela ya field au?
 
HESLB nao wanamakusudi!sasa hawatuelezei!au labda tukianza chuo tutajua!
Hapo ndipo ninapojiuliza, huo mkopo uliopewa ni kwa mwaka mmoja au? Maana inazidi.&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;
<br />
<br />
 

Bora wewe umepata angalau kiduchu mimi dogo katoka kapa
Nataka nimfuate waziri wa Elimu hii mikopo ni kwa ajili ya watoto wa matajiri?
Dogo kasoma Kantalamba, shule ya msingi hajagusa St. sasa iweje anyimwe na ni mtoto wa mkulima?
Cha kusikitisha zaidi dogo hana baba wala mama alafu wamemnyima mkopo hii bodi vp inatumia criteria gani kuwapa watu mikopo? Watakuwa wanatumia masaburi haingii akilini dogo kapiga msuri heavy huko Kantalamba alafu anyimwe mkopo na sifa anazo.
 

Check jamaa huyu
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]328[/TD]
[TD]S1153.0088.2008[/TD]
[TD]THOMAS, MASUMBUKO[/TD]
[TD]M[/TD]
[TD]BAMC[/TD]
[TD]TD001-Bachelor of Arts in Mass Communication[/TD]
[TD]TUDARCO[/TD]
[TD]4,002,500.00[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Huyu akipokea huo mkwanja cha kwanza anazama k.koo kununua plasma kisha sub-buffer, dvd
Chenji anakaa pale Meeda anazitumbua
 
Umenifurahisha sana ndugu yangu.
 
Ukiangalia kwa harakaharaka unaweza kufikiri huyo jamaa amepata mkopo mkubwa lakini kumbe ni kawaida wa tu. Tuition fee yake anayoenda kusona ni 2,300,00 per year. <br />
<br />
 
Hali bado ni tete.. Harufu ya chuo ipo ila nayo ya kusugua mtaa haijapotea...
Ngoja nimkumbuke na m0la wangu mengine ctayaimili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…