A
Anonymous
Guest
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kilimanjaro Christian Medical University College(KCMUCo), naiomba tume ya vyuo vikuu Tanzania(TCU) iwe inafanya ukaguzi kwenye vyuo kujiridhisha kama utaratibu uliowekwa na chuo husika una uhalisia na unatekelezwa
Mfano katika chuo tunatakiwa tulipe bima ya afya mara mbili ambapo hela ya bima tunailipa pamoja na ada ya shule, na muda huo tunatakiwa tutengeneze control number ya kulipia BIMA pekee na kufanya hela ya bima kulipa 100,800 badala ya 50,400
Kingine kuwekewa mafungu ya community field na ilihali kuanzia mwaka WA TATU(MD3) hakuna ratiba ya community field
Mfano katika chuo tunatakiwa tulipe bima ya afya mara mbili ambapo hela ya bima tunailipa pamoja na ada ya shule, na muda huo tunatakiwa tutengeneze control number ya kulipia BIMA pekee na kufanya hela ya bima kulipa 100,800 badala ya 50,400
Kingine kuwekewa mafungu ya community field na ilihali kuanzia mwaka WA TATU(MD3) hakuna ratiba ya community field