Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Vigezo havijabadilika! Tangu awali TCU iliweka GPA ya 3.5. Ila vyuo vya serikali vilijiwekea vyenyewe GPA ya 3.8 japo vyuo vya binafsi vilizingatia vigezo rasmi vya TCU kuwa ni 3.5. TCU haina double standard kwa kigezo cha public au private university!! Huko kwenye public universities kuna maprofesa wazee ambao hawakutaka kizazi kingine kitokee haraka kurithi nafasi zao. Kwa hiyo wakalazimisha kigezo cha kauzibe Fulani!
 
Sasa kufundisha DMI ndo unaita chuo Kikuu...Prof wa DMI!!! Ha ha ha ha.
 
Chuo Pekee kinakubali hiyo qualifications yako ni hicho hicho DMI au ZOOM kule SUA na UDSM wata-equate hiyo Unayoita Degree sawa Na Ordinary Diploma.
 
Uzi umepoteza mvuto baada ya kuingiliwa na vijana wa udsm ambao wanaamini chuo ni udsm tu, vingine vyote ni takataka.
Watu hawajui tu hivi wanavyoita vya kata wanalipa kama UDSM tena malecture wa kule wanakunywa na chai ☕️ bure umeona bwana

Af bado kama unali PhD lako unalamba udean wa faculty haraka sana

UDSM labda faida yake wako mjini pia kuna watoto wazuri

Pia unaweza pitiwa na teuzi za mzee wa Magogoni lakini kama hujitumi UDSM unastaafu huna cheo na mifano ipo 😂😂😂
 
The hitman ,jooohs ,wakuu naitaji kujua diploma pia wanaangalia iyo 3.5 au VIP, wakati wa kuajiri secta binafsi na serikalini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…