grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Duh!! Unakosaje 5.0 mkuu although zote ni first class [emoji23][emoji23][emoji23]Afadhali nimepata kazi nina 4.8 ya cmputer science Udsm
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!! Unakosaje 5.0 mkuu although zote ni first class [emoji23][emoji23][emoji23]Afadhali nimepata kazi nina 4.8 ya cmputer science Udsm
3.5 na 4.0 zote ni second upper class naona kama una zi cartegorize hivi.Mbona kuna wengi tu kutoka vyuo kama st John wana GPA za 4 na zaidi!
Mimi nilidhani wangepaswa kuweka kigezo kingine cha ziada ili kuepuka kuingiza watu wasiostahili ambao ni wengi sana.Kuna wengi wamezipata kishemeji shemeji alama hizo.
Njia ninayopendekeza ni kuwa ifanyike vetting makini na kuwe na forum ambapo wanachuo wataruhusiwa kumpigia kura, kutokana na ubora wake hata kama ana GPA ya 3.5 na mwingine anayo ya 4 kigezo hicho cha pili kipewe nguvu zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu Mungu amenipa kuona mbaliWell done. Maana ungebaki pale ungechemsha na kipindi hiki cha JPM hata vyuo vinaambiwa vipeleke gawio. Pesa za research hakuna.
Usichukulie poa mkuu, huwezi jua ana 5.0Hutakiwi hata kusoma kichwa cha habari mkuu, 3 years seriously wasted!
Mm nilisoma archeology mkuuBraza heshima ifuate mkondo, hizo kozi za ajabu ajabu sikuwahi kuzifikiria hata. Nina Foundation ya IT na Bach. ni Marketing & Entrepreneurship!
Mkuu nifunguke hapa kweli si unanionea mkuu njoo pmFunguka mkuu ulipenya vipi uko?
Hii kozi ukipata line ukatua Australia tu, tutazungumza mengine baada ya mwaka mmoja.
Kwanini wanaosomaga sana huwa wanafeli? Ingawa si woteMkuu sio mchezo nimejiona boya sana kupiga msuli kote nimekuwa lower second class ...nikiangalia cheti chozi upande wa kushoto linanidondoka nakosa raha msuli wa tembo nikiukumbuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha msuli wa Ilboru advance ulinipa hamasa ya kuipiga hiyo 4.8 huku nikiongezea na msuli wa Tabora Boys duuuh Mungu umenitoa mbaliDuh!! Unakosaje 5.0 mkuu although zote ni first class [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
4.8 BA Fine & Performing Arts?Hahahaha msuli wa Ilboru advance ulinipa hamasa ya kuipiga hiyo 4.8 huku nikiongezea na msuli wa Tabora Boys duuuh Mungu umenitoa mbali
Ngwini limepiga 5.0 njoo Engineering uone motoNgoja nisubiri angalau wenye 5.0 waje although cheti sikipi kipaumbele sanaa kwa kuwa ni maandishi tu hayoView attachment 1430995
Sent using Jamii Forums mobile app
N.bNgoja nisubiri angalau wenye 5.0 waje although cheti sikipi kipaumbele sanaa kwa kuwa ni maandishi tu hayoView attachment 1430995
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh hatari mkuu😂😂😂😂Ngoja nisubiri angalau wenye 5.0 waje although cheti sikipi kipaumbele sanaa kwa kuwa ni maandishi tu hayoView attachment 1430995
Sent using Jamii Forums mobile app
apo sawa maana kuna vyuo vingne ile 3.8 unaweza isikia kwenye bombaa tuTCU imetoa third edition ambayo imekuja na mabadiliko mengi.
Moja ya hayo ni kubadili kigezo cha kufundisha kuwa 3.5 kwa undergraduate badala ya 3.8 kwa vyuo vya serikali kama ilivyokua awali lakini 4.0 kwa Masters imeendelea kua ileile
Hii itatoa fursa kwa wanataaluma wenye sifa kupata nafasi na kupunguza uhaba wa wahadhiri vyuoni kutokana na kigezo cha awali
Sasa vijana mlioko vyuoni kazi kwenu pigeni ma GPA mkapige mpunga baada mteuliwe.
Hakuna jibu la moja moja Kwani wako wasiosoma pia wanafaualu ingawa sio wote
Ngoja nisubiri angalau wenye 5.0 waje although cheti sikipi kipaumbele sanaa kwa kuwa ni maandishi tu hayoView attachment 1430995
Sent using Jamii Forums mobile app