Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Kigezo kiwe ni English Language Mastery..
Mtu ana magpa yote lakini kujieleza kwa English hawezi..
Ujingaa.
 
Teuzi = 6M + Teuzi scale

Prof 6M

Associate Prof 4M+

Masters level ukishalamba u lecturer hukosi 3M+ per Month!

Ukianza na u TA ni 1.3M kitu kama hicho!

Kuwa Academician kunalipa sana tu. Ni vile penye miti hapana wajenzi.

TA 1.7,
Ukiwa na master 2.6
Associate Prof 3.8
Prof 5M-6M
Dats why wanalekebisha scale vyuo vyote vifanane mishahara maana mkufunzi wa UDSM ayuko sawa kimshahara na mkufunzi wa CBE, MoCU, IFM, Mzumbe,SUA,SAUTI,TIA


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
TCU imetoa third edition ambayo imekuja na mabadiliko mengi.

Moja ya hayo ni kubadili kigezo cha kufundisha kuwa 3.5 kwa undergraduate badala ya 3.8 kwa vyuo vya serikali kama ilivyokua awali lakini 4.0 kwa Masters imeendelea kua ileile

Hii itatoa fursa kwa wanataaluma wenye sifa kupata nafasi na kupunguza uhaba wa wahadhiri vyuoni kutokana na kigezo cha awali

Sasa vijana mlioko vyuoni kazi kwenu pigeni ma GPA mkapige mpunga baada mteuliwe.

Kufundisha siyo shida ila shida ni kufundisha na ukaeleweka.
 
Ni rahisi tu wakati nikiwa kwenye taasisi fulani vetting tuliyokuwa tukiwafanyia new recruits ilikuwa ni kufananisha matokeo yake ya O&A level vs ya chuo then tuna mregard au disregard....kama chuo una 4.0 na o level una III A level III wewe mojakwamoja wahega

Sent using Jamii Forums mobile app
He vipi kuhusu matokeo yake ya interview ? Assume interview amefaulu sana
 
St jon
Kwani waanzilishi wa elimu hapa nchini ni wakina nani? Wewe hujui kuwa mfumo wa Seminary ndio hutumika kwa vyuo vya taasisi za kidini hasa Romani Catholic, hivi kuna watu wenye mfumo mzuri wa elimu kama Roman Catholic?

Kwa waliobahatika kusoma seminary halafu wakaenda kusoma vyuo vilivyo chini ya Warumi wanaelewa mziki ila kwa mtu ambae hakubahatika kupitia huu mfumo ni ngumu kuelewa maana bado hajabahatika kujua kuwa chuo kikubwa duniani kama Harvad kipo chini ya Warumi. Warumi hawanaga masihara na kitu inaitwa elimu wakiandaa mtu wanaanda kweli kweli kiroho, kiakili na kimwili ukizingua wanakula kichwa mapema tu, wewe waulize waliosoma shule na vyuo vyao.
St John's sio Catholic
 
St jon

St John's sio Catholic
Nifahamu vyema mkuu hao ni wa Angelicana ila nilimjibu kutokna na yeye alivyojibu kwa kujumuisha vyuo vya parokia bila kujua kuna Warumi humo ndani, ambao ndio wamekuwa kitovu cha elimu bora humu nchini kabla na baada ya uhuru.
 
Kila Profesa anaenda kuajiliwa alipwe mshahara, who will do researches and come up with solutions of some problems we have . Sikatai Profesa kuajiliwa ninachokataa ni Profesa kuendelea kufundisha mpaka anakufa akilipwa 6M na sio kufundisha iwe ziada bali hizo departments kwenye vyuo vikuu ziwe centres of researches kuanzia engineering mpaka Law kuwe na maresearch kila kukicha na hata wanafunzi wa hawa maprofesa wajengwe kwenye misingi ya kutafuta solutions za matatizo ya dunia na si kusoma tu kama makasuku..
 
Bongo bwana raha sana..

Majitu yana GPA ya 3.5 mpaka 4+ huko tena unakuta engineering huko sasa mara paap COVID-19 hiyo tengenezeni basi hata kaventilator hata kamoja hawawezi zinaanza sound tu...

Huku Africa kuwa na hayo MAGPA ni kupoteza muda tu maana kwenye ubongo utakuwa umekariri tu.

With all these degree' s and GPA's bado hatuwezi hata kuchimba dhahabu wala makaa tukayaweka kwenye matumizi baadala yake tumebaki kushindanisha maGPA tub huku hatuwezi hata kutengeneza magobore wala Camera mpaka USB cable..kifupi huku wote ni maprimitive tu na shule tulienda kutembea tu...
Hakuna kitu hawa waswahili. Ni mambumbumbu ajabu!

Si ajabu ni sababu serikali inaajiri wakandarasi kutoka china!

Hata barabara ya vumbi hawawezi kutengeneza hawa!

Ukimkabidhi kutengeneza barabara utajuta! Ni mabonde na nyufa za uhakika!

Ukimuuliza utasikia oohh unajua nimesoma physics, nina masters mbili... ohh unajuaa hii ni ze expansion of nondo.... ze soil pressure......udongo unaexpandi... ze air is going through zea zea...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uzuri humu JF hakuna mwenye chini ya upper second. woooote mpo vizuri. nadhani umenielewa
Nikuelekeze chuo nilichisoma ukaulizie? Au nikutumie script ya mayokeo?

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
 
Mbona kuna wengi tu kutoka vyuo kama st John wana GPA za 4 na zaidi!
Mimi nilidhani wangepaswa kuweka kigezo kingine cha ziada ili kuepuka kuingiza watu wasiostahili ambao ni wengi sana.Kuna wengi wamezipata kishemeji shemeji alama hizo.

Njia ninayopendekeza ni kuwa ifanyike vetting makini na kuwe na forum ambapo wanachuo wataruhusiwa kumpigia kura, kutokana na ubora wake hata kama ana GPA ya 3.5 na mwingine anayo ya 4 kigezo hicho cha pili kipewe nguvu zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja yako ina mashiko,sema pia kumbuka mara nyingi kila chuo kimekua na desturi ya kuajiri watu waliopitia kwenye vyuo vyao.NB:Connection pia ina uzito mkubwa
 
TEKU alumni huoni tofaut bado?
Weweeee...sikilizaa.... mimi sijasoma hizo shule zenu uchwara!

Kwanza hapo Tanganyika mna chuo kikuu ninyi? au "extended high schools"?

Mimi nimesoma kweli kweli. Nimesoma kila taaluma iliyopo chini ya hili jua!

Sibabaiki na hizo GPA zenu za kubangaiza za High school!

Ohhhhh ati nimesoma chuo kikuu! Chuo kikuu ukikiona utakijua wewe ngumbaru wa Tanganyika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza hapo Tanganyika mna chuo kikuu ninyi? au "extended high schools"?

Mimi nimesoma kweli kweli. Nimesoma kila taaluma iliyopo chini ya hili jua!

Sibabaiki na hizo GPA zenu za kubangaiza za High school!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliza mpenyo Upewe kazi hapo hapo TEKU maana wanyaki mmejazana hapo kila Kona.
 
Back
Top Bottom