Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Mbona kuna wengi tu kutoka vyuo kama st John wana GPA za 4 na zaidi!
Mimi nilidhani wangepaswa kuweka kigezo kingine cha ziada ili kuepuka kuingiza watu wasiostahili ambao ni wengi sana.Kuna wengi wamezipata kishemeji shemeji alama hizo.

Njia ninayopendekeza ni kuwa ifanyike vetting makini na kuwe na forum ambapo wanachuo wataruhusiwa kumpigia kura, kutokana na ubora wake hata kama ana GPA ya 3.5 na mwingine anayo ya 4 kigezo hicho cha pili kipewe nguvu zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe kama mtu form four kapata one kali, six kapata one kali halafu akaenda St. John na katoka na GPA ya 4 unadhani huy mtu watamuacha kisa kasoma St. John.
 
Mbona kuna wengi tu kutoka vyuo kama st John wana GPA za 4 na zaidi!
Mimi nilidhani wangepaswa kuweka kigezo kingine cha ziada ili kuepuka kuingiza watu wasiostahili ambao ni wengi sana.Kuna wengi wamezipata kishemeji shemeji alama hizo.

Njia ninayopendekeza ni kuwa ifanyike vetting makini na kuwe na forum ambapo wanachuo wataruhusiwa kumpigia kura, kutokana na ubora wake hata kama ana GPA ya 3.5 na mwingine anayo ya 4 kigezo hicho cha pili kipewe nguvu zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni rahisi tu wakati nikiwa kwenye taasisi fulani vetting tuliyokuwa tukiwafanyia new recruits ilikuwa ni kufananisha matokeo yake ya O&A level vs ya chuo then tuna mregard au disregard....kama chuo una 4.0 na o level una III A level III wewe mojakwamoja wahega

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna chuo cha serikali hata kimoja waanachukua 3.5, hiyo ilikua kwa private tu na ndio msingi wa kuhamornise, lakin bado vyuo vya serikali vimebaki hapo hapo na 3.8...with time mambo yatakaa sawa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikalini kuna colleges and institutes ambazo zipo chini ya NACTE, Hizi vilikuwa vinachukua 3.5, mf DIT, ATC, DMI, etc..
Na kuna universities zilizo chini ya TCU, hzi ndo zilikuwa zinachukua kuanzia 3.8, ambao kwa sasa TCU nao pia wamepunguza mpaka 3.5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo bwana raha sana..

Majitu yana GPA ya 3.5 mpaka 4+ huko tena unakuta engineering huko sasa mara paap COVID-19 hiyo tengenezeni basi hata kaventilator hata kamoja hawawezi zinaanza sound tu...

Huku Africa kuwa na hayo MAGPA ni kupoteza muda tu maana kwenye ubongo utakuwa umekariri tu.

With all these degree' s and GPA's bado hatuwezi hata kuchimba dhahabu wala makaa tukayaweka kwenye matumizi baadala yake tumebaki kushindanisha maGPA tub huku hatuwezi hata kutengeneza magobore wala Camera mpaka USB cable..kifupi huku wote ni maprimitive tu na shule tulienda kutembea tu...
 
Hii guideline inaanza kutumika mwaka huu
Hata hivi vyuo wataanza kutumia hizo guidelines
Mkuu TCU haija badili kigezo chochote kile fatilia hata guidebook iliyokuwa inatumika hapo nyuma GPA ilikuwa 3.5.

Hakuna mahali TCU walishatumia 3.8 sasa unaposema wameshusha vigezo kutoka 3.8 hadi 3.5 utakuwa unapotosha.

Hiyo 3.5 ni minimum entry wameweka hivyo kuregulate hata vyuo vya private, kwamba wakipiga msako wakute kila mkufunzi ameanzia gpa ya 3.5 kupanda juu

Lakini vyuo vikubwa vitabaki na utaratibu wake ule ule wa 3.8 kupanda juu. Usijeshangaa baada ya miaka kadhaa ukaona udsm,sua,muhas,udom wanataka gpa ya 4

Jaribu kuangalia hata kigezo cha kudahili wanafunzi chuoni TCu wanahitaji Credit mbili. Lakini rudi ulinganishe ni vigezo vya chuo utaona tofauti






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu TCU haija badili kigezo chochote kile fatilia hata guidebook iliyokuwa inatumika hapo nyuma GPA ilikuwa 3.5.

Hakuna mahali TCU walishatumia 3.8 sasa unaposema wameshusha vigezo kutoka 3.8 hadi 3.5 utakuwa unapotosha.

Hiyo 3.5 ni minimum entry wameweka hivyo kuregulate hata vyuo vya private, kwamba wakipiga msako wakute kila mkufunzi ameanzia gpa ya 3.5 kupanda juu

Lakini vyuo vikubwa vitabaki na utaratibu wake ule ule wa 3.8 kupanda juu. Usijeshangaa baada ya miaka kadhaa ukaona udsm,sua,muhas,udom wanataka gpa ya 4

Jaribu kuangalia hata kigezo cha kudahili wanafunzi chuoni TCu wanahitaji Credit mbili. Lakini rudi ulinganishe ni vigezo vya chuo utaona tofauti






Sent using Jamii Forums mobile app
Huu utakuwa hauna tofauti na ubaguzi wa Rangi na kabila 🤣🤣🤣🤣
 
Watu wanawaza kuajiriwa tu. Kweli umaskini hautaisha. Eti PhD holder anapigia mahesabu 3.2 million kwa mwezi. Hapo bado NSSF sijui PAYE na takataka nyingine. Wakati mtaani hiyo 3 m tunapata ndani ya wiki tu. Kweli umaskini hautaisha
Jane hebu tuelekezane hiyo mitaa na siye tuje..
 
Alijiloga kwenda kusoma parokiani
Kwani waanzilishi wa elimu hapa nchini ni wakina nani? Wewe hujui kuwa mfumo wa Seminary ndio hutumika kwa vyuo vya taasisi za kidini hasa Romani Catholic, hivi kuna watu wenye mfumo mzuri wa elimu kama Roman Catholic?

Kwa waliobahatika kusoma seminary halafu wakaenda kusoma vyuo vilivyo chini ya Warumi wanaelewa mziki ila kwa mtu ambae hakubahatika kupitia huu mfumo ni ngumu kuelewa maana bado hajabahatika kujua kuwa chuo kikubwa duniani kama Harvad kipo chini ya Warumi. Warumi hawanaga masihara na kitu inaitwa elimu wakiandaa mtu wanaanda kweli kweli kiroho, kiakili na kimwili ukizingua wanakula kichwa mapema tu, wewe waulize waliosoma shule na vyuo vyao.
 
Back
Top Bottom