Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Kwenye mashirika watu Wana salary nzuri na kubwa sana aisee Tena hapo ni bachelor tu
Lakini hii mishahara mboba sio mikubwa kivile ukilinganisha na Private maana serikali hawabadili scale yako ya mshahara haraka haraka maana katika kuhangaika niliwahi fanya interview ILO mshahara ulikua 7m na hakuna kukatwa kodi walikua wanataka 2 years experience na Bachelor tu..sema sikuwahi kuipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwa wale wenye unclassified degrees
ie MD ,DDS & DVM wanaangalia kitu gan maana huwa hawana GPA

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wahadhiri wengi salary ndogo ndio Mana wanakimbilia siasa wakati waliopo kwenye mashirika mwenye bachelor ana salary kubwa kuliko wao, pia kwa Tanzania wahadhiri wengi Hadi ma Prof wengi Hawa publish kazi zao kwenye journal za kimataifa sijui wanakwama wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mishahara siyo mikubwa kivile. Sema labda ni mtu anaona anapata value. Kufundisha chuo si unajua lazima uwe kichwa. Wanaopiga pesa ni wale wenye vyeo kwenye vitengo. Si unajua kupata kipato nje ya mshahara.
 
Wao wanapenda title za kuwa lecturer wa chuo huku njaa Kali huko ni wastage of time.Mbaya zaidi wengine wanazeekea kwenye hyo kazi karibia 70 na kuendelea
Mishahara siyo mikubwa kivile. Sema labda ni mtu anaona anapata value. Kufundisha chuo si unajua lazima uwe kichwa. Wanaopiga pesa ni wale wenye vyeo kwenye vitengo. Si unajua kupata kipato nje ya mshahara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kuna wengi tu kutoka vyuo kama st John wana GPA za 4 na zaidi!
Mimi nilidhani wangepaswa kuweka kigezo kingine cha ziada ili kuepuka kuingiza watu wasiostahili ambao ni wengi sana.Kuna wengi wamezipata kishemeji shemeji alama hizo.

Njia ninayopendekeza ni kuwa ifanyike vetting makini na kuwe na forum ambapo wanachuo wataruhusiwa kumpigia kura, kutokana na ubora wake hata kama ana GPA ya 3.5 na mwingine anayo ya 4 kigezo hicho cha pili kipewe nguvu zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fredo Fred,
TA aliyesoma miaka mitatu na mitano si huwa wana scale tofauti ?

Vyuo vya umma (Tanzania) kama chuo kikuu cha Dar es Salaam unalipwa kuanzia viwango vifuatavyo kabla ya makato;

Tutorial Assistant (Mkufunzi Msaidizi)

Shahada ya miaka mitatu - Tshs. 1.6 M
Shahada ya miaka minne - Tshs. 1.7 M
Shahada ya miaka mitano - Tshs. 1.8 M

Assistant Lecturer (Mhadhiri Msaidizi)
Elimu ya umahiri/uzamili (Masters degree) - Tshs. 2.5 M ~ 2.7 M

Lecturer (Mhadhiri)
Elimu ya uzamivu (Doctor of Philosophy, Ph.D) - Tshs. 3.2 M ~ 3.5 M

Senior Lecturer (Mhadhiri Mwandamizi)
Elimu (Ph.D) plus teaching, publications & consultations above 5.0 points academic rating - Tshs. 3.6 M ~ 3.8 M

Associate Professor (Profesa Mshiriki)
Above 7.5 points - Tshs. 4.0 M ~ 4.5 M

Full Professor (Profesa Kamili)
Above 8.5 points - Tshs. 4.5 M ~ 5.0 M

Teaching kila mtu hupewa 2.0 points, Utofauti huja ktk publications na ndipo pana points nyingi sana. Ukiwa na kichwa kizuri kama una-publish ktk international journals unapanda faster. Unaweza kuwa profesa kamili na miaka 31 tu ukiwa mjanja.

Watu pekee wanaolipwa zaidi ya Tshs. 6 M ni Administrative post kama makamu mkuu wa chuo na wale manaibu wake (taaluma, utafiti na utawala) na mwanasheria mkuu wa chuo.

Wengine kama wakuu wa idara na principals/deans huwa inaongezeka kuanzia Tshs. 400,000 ~ 1 M kulingana ngazi uliyokuwepo mpaka ulipopanda. Cheo cha chini ni ukuu wa idara cha juu ni principal/dean.


Mishahara ya chuo kikuu cha Dar es Salaam inafanana sana na ya benki kuu (BoT). From Junior level to principal officer level mpaka managers & directors except for executives (gavana na manaibu wake).
 
Wao wanapenda title za kuwa lecturer wa chuo huku njaa Kali huko ni wastage of time.Mbaya zaidi wengine wanazeekea kwenye hyo kazi karibia 70 na kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana wakistaafu huwa wanaomba kuongezewa mikataba. Mbaya zaidi wanaoishi kwenye nyumba za chuo ndo wanabweteka kabisa. Maproph wengi wakifariki wengine wazee kabisa. Mkienda kuzika wengine hata nyumba hawajamaliza. Baadae familia inatakiwa ihame kwenye nyumba ya chuo. 😥
 
Fredo Fred,
TA aliyesoma miaka mitatu na mitano si huwa wana scale tofauti ?

Vyuo vya umma (Tanzania) kama chuo kikuu cha Dar es Salaam unalipwa kuanzia viwango vifuatavyo kabla ya makato;

Tutorial Assistant (Mkufunzi Msaidizi)

Shahada ya miaka mitatu - Tshs. 1.6 M
Shahada ya miaka minne - Tshs. 1.7 M
Shahada ya miaka mitano - Tshs. 1.8 M

Assistant Lecturer (Mhadhiri Msaidizi)
Elimu ya umahiri/uzamili (Masters degree) - Tshs. 2.5 M ~ 2.7 M

Lecturer (Mhadhiri)
Elimu ya uzamivu (Doctor of Philosophy, Ph.D) - Tshs. 3.2 M ~ 3.5 M

Senior Lecturer (Mhadhiri Mwandamizi)
Elimu (Ph.D) plus teaching, publications & consultations above 5.0 points academic rating - Tshs. 3.6 M ~ 3.8 M

Associate Professor (Profesa Mshiriki)
Above 7.5 points - Tshs. 4.0 M ~ 4.5 M

Full Professor (Profesa Kamili)
Above 8.5 points - Tshs. 4.5 M ~ 5.0 M

Teaching kila mtu hupewa 2.0 points, Utofauti huja ktk publications na ndipo pana points nyingi sana. Ukiwa na kichwa kizuri kama una-publish ktk international journals unapanda faster.

Watu pekee wanaolipwa zaidi ya Tshs. 6 M ni Administrative post kama makamu mkuu wa chuo na wale manaibu wake (taaluma, utafiti na utawala) na mwanasheria mkuu wa chuo.

Wengine kama wakuu wa idara na principals/deans huwa inaongezeka kuanzia Tshs. 400,000 ~ 1 M kulingana ngazi uliyokuwepo mpaka ulipopanda. Cheo cha chini ni ukuu wa idara cha juu ni principal/dean.
Kweli wewe una data. 👍
 
Fredo Fred,
TA aliyesoma miaka mitatu na mitano si huwa wana scale tofauti ?

Vyuo vya umma (Tanzania) kama chuo kikuu cha Dar es Salaam unalipwa kuanzia viwango vifuatavyo kabla ya makato;

Tutorial Assistant (Mkufunzi Msaidizi)

Shahada ya miaka mitatu - Tshs. 1.6 M
Shahada ya miaka minne - Tshs. 1.7 M
Shahada ya miaka mitano - Tshs. 1.8 M

Assistant Lecturer (Mhadhiri Msaidizi)
Elimu ya umahiri/uzamili (Masters degree) - Tshs. 2.5 M ~ 2.7 M

Lecturer (Mhadhiri)
Elimu ya uzamivu (Doctor of Philosophy, Ph.D) - Tshs. 3.2 M ~ 3.5 M

Senior Lecturer (Mhadhiri Mwandamizi)
Elimu (Ph.D) plus teaching, publications & consultations above 5.0 points academic rating - Tshs. 3.6 M ~ 3.8 M

Associate Professor (Profesa Mshiriki)
Above 7.5 points - Tshs. 4.0 M ~ 4.5 M

Full Professor (Profesa Kamili)
Above 8.5 points - Tshs. 4.5 M ~ 5.0 M

Teaching kila mtu hupewa 2.0 points, Utofauti huja ktk publications na ndipo pana points nyingi sana. Ukiwa na kichwa kizuri kama una-publish ktk international journals unapanda faster. Unaweza kuwa profesa kamili na miaka 31 tu ukiwa mjanja.

Watu pekee wanaolipwa zaidi ya Tshs. 6 M ni Administrative post kama makamu mkuu wa chuo na wale manaibu wake (taaluma, utafiti na utawala) na mwanasheria mkuu wa chuo.

Wengine kama wakuu wa idara na principals/deans huwa inaongezeka kuanzia Tshs. 400,000 ~ 1 M kulingana ngazi uliyokuwepo mpaka ulipopanda. Cheo cha chini ni ukuu wa idara cha juu ni principal/dean.


Mishahara ya chuo kikuu cha Dar es Salaam inafanana sana na ya benki kuu (BoT). From Junior level to principal officer level mpaka managers & directors except for executives (gavana na manaibu wake).
asante
 
Back
Top Bottom