Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Watu wanawaza kuajiriwa tu. Kweli umaskini hautaisha. Eti PhD holder anapigia mahesabu 3.2 million kwa mwezi. Hapo bado NSSF sijui PAYE na takataka nyingine. Wakati mtaani hiyo 3 m tunapata ndani ya wiki tu. Kweli umaskini hautaisha

Yani nikiona mshahara wa PhD holder ni huu nachoka kabisa inakatisha tamaa
 
Wewe hujui unadanganya watu. Tofauti ya full prof na associate Professor ni 300,000 tu
Hahahah kwahio full prof anakula 4.7 sio? Hongera sana mkuu maana mie hizi info nazitoa katika chanzo cha uhakika.
 
Kusema ukweli, mimi tangu 1st year sijawahi fika GPA ya 3.0, nacheza 2.5 2.6, naamini kikubwa kumaliza. NB! SUP ni ndugu yangu damu damu.
Karibuni.

🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kama mazuri,bora uhai tu
 
Teuzi = 6M + Teuzi scale

Prof 6M

Associate Prof 4M+

Masters level ukishalamba u lecturer hukosi 3M+ per Month!

Ukianza na u TA ni 1.3M kitu kama hicho!

Kuwa Academician kunalipa sana tu. Ni vile penye miti hapana wajenzi.
Mhuuuuum hapa umelisha watu sumu. Kafanye research tena. Hakuna prof anachukua 6M.
 
Back
Top Bottom