JaphetJacob
Senior Member
- Dec 11, 2015
- 106
- 121
Unayesema hivyo unaitwa Jane Lowassa ingekua ni rahisi kuipata wote tungeikomaliaWatu wanawaza kuajiriwa tu. Kweli umaskini hautaisha. Eti PhD holder anapigia mahesabu 3.2 million kwa mwezi. Hapo bado NSSF sijui PAYE na takataka nyingine. Wakati mtaani hiyo 3 m tunapata ndani ya wiki tu. Kweli umaskini hautaisha