Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

Dah, inauma sana kukosa point tu kufikia hiko kigezo. Wakilegeza masharti tena mpaka 3.4 tustuane jamani.

Kama kungekuwa na kurisiti kozi ulizofeli ili kusafisha cheti ningerudia semister moja ambayo tulipangiwa wakutubi wabovu kuwahi kutokea katika nchi za jangwa la sahara. Hawa ndio waliniharibia timming.
Ulisoma BA (Kiswahili) halafu GPA 3.3?
 
Dah, inauma sana kukosa point tu kufikia hiko kigezo. Wakilegeza masharti tena mpaka 3.4 tustuane jamani.

Kama kungekuwa na kurisiti kozi ulizofeli ili kusafisha cheti ningerudia semister moja ambayo tulipangiwa wakutubi wabovu kuwahi kutokea katika nchi za jangwa la sahara. Hawa ndio waliniharibia timming.
Lakini mkuu unaweza piga postgraduate diploma nasikia inasaidia pia ukishapiga PhD yako hawaangalii vigezo
Ko tafuta PhD yako hapo 😉
 
Lakini mkuu unaweza piga postgraduate diploma nasikia inasaidia pia ukishapiga PhD yako hawaangalii vigezo
Ko tafuta PhD yako hapo 😉
Naskia wameifuta mkuu! Juzi nilikuwa naongea na cousin wangu ni Lecturer.

Anadai wamei cancel ikiwa ni sambamba na ku harmonize hicho kigezo cha 3.5 kwa vyuo vyote vya serikali.

So ile shortcut ya kibaharia ya kutambaa na chaki ya PGD wameikataa. Nilitaka nipenyee huko.
 
Naskia wameifuta mkuu! Juzi nilikuwa naongea na cousin wangu ni Lecturer.

Anadai wamei cancel ikiwa ni sambamba na ku harmonize hicho kigezo cha 3.5 kwa vyuo vyote vya serikali.

So ile shortcut ya kibaharia ya kutambaa na chaki ya PGD wameikataa. Nilitaka nipenyee huko.
Doh bhasi wamebana eneo hilo

Lakini ukiwa na Limaster lako unaweza kuomba part time lecture au occasion lecture au na hii wameifuta
 
Hata hivyo kuna watu wana 3.6, 3.7 undergraduate na wameajiriwa kwenye hivyo vyuo vyako connection inamatter pia☹☹
Yaani university bila connection utaishia kuharibu hela za nauli tu kwenda kwenye interview, Tena siku hizi vyuo vingi vinaajiri wanafunzi wao ukishindwa kujipendekeza wakat ukiwa mwanafunzi basi imekula kwako
 
Back
Top Bottom