Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahah hio ndio ilikuwa motivation sio🤣🤣🤣Cha muhimu cheti😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah hio ndio ilikuwa motivation sio🤣🤣🤣Cha muhimu cheti😂😂
[emoji23][emoji23]GPA ya kuendelea kubaki chuo hiyona mimi wakifika 2.0 nijulishe
wewe lazima huipate hiyo 3mln maana jina lenyewe tu ni LOWASSAGPA eeee kazi kweli kweli
Mungu ibariki Tanzania.
HAHHAHAHAHHAHAHAHAHHaaa haaa yaani mimi kuwa Lecturer ni suala la muda tu. GPA ya 4.2 sikupoteza muda bure. Nilichekwa sana kwamba nimetumwa na kijiji
Kinachokubeba ni hio surname tu, baba yako mwenyewe si Fisadi papa unakosaje mkondo wa kukuingizia 3M ndani ya week aisee!Watu wanawaza kuajiriwa tu. Kweli umaskini hautaisha. Eti PhD holder anapigia mahesabu 3.2 million kwa mwezi. Hapo bado NSSF sijui PAYE na takataka nyingine. Wakati mtaani hiyo 3 m tunapata ndani ya wiki tu. Kweli umaskini hautaisha
We subiria Post za wafanya usafi, naskia 2 tu wanachukuagaJaman wakifika 2's mnishtue
Hata hiyo sio mbaya mkuu maana huku mtaani pagumuWe subiria Post za wafanya usafi, naskia 2 tu wanachukuaga
Mkuu acha tu, kukosa point moja ili kufuzu vigezo vya upper second inauma kixenge yani maumivu yake ni zaidi ya kutenguliwa na jiwe3.4 mpaka Leo hii GPA inauma sana point moja nimeshindwa kuipata niwe first upper class...kama hapa tena ajira ya uhakika isiyo na mambo mengi imenipita kushoto
Sent using Jamii Forums mobile app
GPA ya BA Political Science peleka ufipaAisee inaonekana unaipenda hii kazi,ingekuwa kuna kubadilishana GPA ningekupa yangu maana imekidhi vigezo na siitumii
Mkuu sio mchezo nimejiona boya sana kupiga msuli kote nimekuwa lower second class ...nikiangalia cheti chozi upande wa kushoto linanidondoka nakosa raha msuli wa tembo nikiukumbukaMkuu acha tu, kukosa point moja ili kufuzu vigezo vya upper second inauma kixenge yani maumivu yake ni zaidi ya kutenguliwa na jiwe
Chibu ana GPA ya ngapi? Analipia watu 500 kodi wakati Prof. Wa SUA anahangaika lab na utafiti wa mboga za mnafu kwa ujira wa 4 (gross) kwa mwezi.Mkuu acha tu, kukosa point moja ili kufuzu vigezo vya upper second inauma kixenge yani maumivu yake ni zaidi ya kutenguliwa na jiwe
Chibu ana GPA ya ngapi? Analipia watu 500 kodi wakati Prof. Wa SUA anahangaika lab na utafiti wa mboga za mnafu kwa ujira wa 4 (gross) kwa mwezi.
Kina Chib wapo wangapi ?Bora ma prof wapo wengi na mishahara japokuwa midogo ila wana uhakika wa kuishi maisha standard. Chib mziki ukiisha hata hajafika 40.Ni balaa tu.Chibu ana GPA ya ngapi? Analipia watu 500 kodi wakati Prof. Wa SUA anahangaika lab na utafiti wa mboga za mnafu kwa ujira wa 4 (gross) kwa mwezi.
Haiwezi kuwa balaa maana ana salio la kutosha bank. Kwa hesabu za viinua mgongo vya maprofessa hashindwi kuwalipia wastaafu hata 20 mafao yao na stahiki zao.Kina Chib wapo wangapi ?Bora ma prof wapo wengi na mishahara japokuwa midogo ila wana uhakika wa kuishi maisha standard. Chib mziki ukiisha hata hajafika 40.Ni balaa tu.
GPA ya BA Political Science peleka ufipa
Show off tu. Ngonja kuimba kuishe ndo utajua alikuwa anamiliki nini na nini ?Hayo magari showoff tu. Mwambie aonyeshe Card za gari.Haiwezi kuwa balaa maana ana salio la kutosha bank. Kwa hesabu za viinua mgongo vya maprofessa hashindwi kuwalipia wastaafu hata 20 mafao yao na stahiki zao.
Achilia tofali anazomiliki maeneo mbali mbali ya bongo DSM. That Nigga ballin so hard wacha apush VX V8 zake hamna namna. Kama mziki ungekuwa raihisi wote tungeimbaga.
muulize kabla ya Diamond kulikuwa na Sir Nature,yuko wapi.Kina Chib wapo wangapi ?Bora ma prof wapo wengi na mishahara japokuwa midogo ila wana uhakika wa kuishi maisha standard. Chib mziki ukiisha hata hajafika 40.Ni balaa tu.
Kuna yule Mr Nice pia.Nasikia alikuwa na msafara wa magari na walinzi.muulize kabla ya Diamond kulikuwa na Sir Nature,yuko wapi.