Ndugu jf
Niliomba admission kupitia TCU katika unversity mbali mbali kama vile Mucobbs lakini chakushangaza nimechaguliwa na kozi wameweka wanayo jua wenyewe nakuacha ambazo mimi niliziweka katika selection account yangu...hapa najiuliza nitasomaje kozi ambayo sijachagua wala sina interest nayo?
naombeni msaada chakufanya.
Kuna mtu anaweza kunisaidia contact zao?
Ndugu jf
Niliomba admission kupitia TCU katika unversity mbali mbali kama vile Mucobbs lakini chakushangaza nimechaguliwa na kozi wameweka wanayo jua wenyewe nakuacha ambazo mimi niliziweka katika selection account yangu...hapa najiuliza nitasomaje kozi ambayo sijachagua wala sina interest nayo?
naombeni msaada chakufanya.
Kuna mtu anaweza kunisaidia contact zao?
nilichojibiwa duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
nilichojibiwa duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Nakushauri piga hiyo hiyo ndugu ni bonge la course hyo especially katIka wakat huu mgumu wa ajira
Wewe ndio mpiga msuli au nakufananisha?