Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
Je? Hiki chuo vipi
muccobs wanafundishwa na matutorial!kwa nin hukuomba vyuo ka udom,sua,mzumbe na ud kaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je? Hiki chuo vipi
wewe tatizo lako ni kama la rafiki yangu ni hivyohvyo ali apply procurement wamempa hyo hapo marketing and enterprenuership.Ndugu jf
Niliomba admission kupitia TCU katika unversity mbali mbali kama vile Mucobbs lakini chakushangaza nimechaguliwa na kozi wameweka wanayo jua wenyewe nakuacha ambazo mimi niliziweka katika selection account yangu...hapa najiuliza nitasomaje kozi ambayo sijachagua wala sina interest nayo?
naombeni msaada chakufanya.
maliaa mimi pia nilichagua kozi mbili hapo muccobs ambazo ni law na procurement and supply management! Wakanipeleka marketing and intaprenyuaship dah hebu ni pm!je? Hiki chuo vipi