Wakata TCU ikiwataka wanafunzi waliokosa vyuo kuomba tena vyuo kuanzia tarehe,,,14/10/2013,,,na wakati wanafunzi wanafunzi waliochaguliwa,,wengi wao wapo nyumbani wakiangaika kutafuta,,,fedha ya kulipa ada na mambo mengine,,,sasa inaonekana elimu ya Tanzania kila mtu anaichenzea tu kama anavyotaka,,,,tunaenda wap?wanafunzi wengi wapo mitaani,,bado mnazingizia watu waombe kumbe,,,mnataka waombaji wapya,,ili mjipatie fedha,,,hiyo iko poa kweli?
huu,,sio ungwana tatueni kwanza matatizo yaliopo,,,,