TCU kuanza kuchaji Quality Assuarance Fee

TCU kuanza kuchaji Quality Assuarance Fee

Mbona Sio official hiyo document yako.
Pia TCU haina kiongozi mwenye cheo cha Vice Chancellor.
Barua yako ina walakini if not fake!!!

Mkuu, hiyo kitu sio propaganda, ni issue serious, na utaratibu uliotimiwa na TCU ni kuwapa order wakuu wa vyuo kuwaandikia wanafunz wao barua kuwataarifu suala hilo, usione jina la prof hapo ukafikir ni prof from TCU.
 
Tcu ni wanyanyasaj 24hrs Web services hamna... Hamna habar yoyte still wanaweka watu roho juu na kila badh ya vyuo wakipewa matokeo ndo kuzd watu walokuwa hawajapata wanazid simanz.... Tcu help them wanasuffer watoto
 
Nimesikia kuwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu wanapaswa kulipa 20000/= kwaajili ya ada ya TCU, nimesikia pia baadhi ya wanafunzi katika baadhi ya vyuo wamelipa, wengine wanadai hii fedha inapaswa kulipwa na chuo husika na sio mwanafunzi.

Hali hii inatuchanganya sana hasa wanafunzi wa vyuo ambao hatujalipia hii fedha. Je, hii fedha inauhusioano wowote na fedha tulioilipa wakati tunasajiliwa na TCU?

Kama haina mahusioano inahusu ni nini hasa... Please naomba kusaidiwa kwa anaye ufahamu ukweli wa hili.
 
Quality Assurance Unity ni organization ambayo kazi yake kubwa ni kuhakikish kuwa wanafunzi wanapata quality education I mean EDUCATION OF HIGH QUALITY. Organization hizo zipo kila chuo japokuwa yawezekana wanafunzi wengine ndan ya chuo kutojua kabisa issue hiyo, lakuni kila chuo hiyo kitu ipo. Sasa, organization zilizopo chuoni, zinafuatilia taaluma ndani ya chuo LAKINI, LAKINI ., TCU nayo ina kabinet yake ya Quality Assurance Ambayo kazi yake ni kufuatilia na kuhakikisha kwamba wanafunzi wanapata education of high quality KWA, narudia tena KWA , yaani KWA vyuo vyoye TANZANIA. Sasa cabinet hiyo ya TCU itafanyaje kazi?? I mean kufuatilia taaluma kwa vyuo vyote TANZANIA,, . Then ndugu yangu; ndo maana wanachuo wanatoa 20,000 kwa mwaka ili cabinet hiyo iweze kufanya kazi yake. Hope its clear.
 
Quality Assurance Unity ni organization ambayo kazi yake kubwa ni kuhakikish kuwa wanafunzi wanapata quality education I mean EDUCATION OF HIGH QUALITY. Organization hizo zipo kila chuo japokuwa yawezekana wanafunzi wengine ndan ya chuo kutojua kabisa issue hiyo, lakuni kila chuo hiyo kitu ipo. Sasa, organization zilizopo chuoni, zinafuatilia taaluma ndani ya chuo LAKINI, LAKINI ., TCU nayo ina kabinet yake ya Quality Assurance Ambayo kazi yake ni kufuatilia na kuhakikisha kwamba wanafunzi wanapata education of high quality KWA, narudia tena KWA , yaani KWA vyuo vyoye TANZANIA. Sasa cabinet hiyo ya TCU itafanyaje kazi?? I mean kufuatilia taaluma kwa vyuo vyote TANZANIA,, . Then ndugu yangu; ndo maana wanachuo wanatoa 20,000 kwa mwaka ili cabinet hiyo iweze kufanya kazi yake. Hope its clear.[huo ni wiz ulio tukuka hivi watu mna dhan 20000 ndogo chuo cha sua peke yake kina wanafunzi karibia 10000 zidisha mara 20000 ujaenda Udom, Udsm na vyuo vingine karibia 50 eti quality assuarence hv inamaana iliserekali iweze hakikisha elimu inatolewa ya ufasaha ni lazima ilipwe kaziii ya serekali nini na shangaa sana wanafunzi wa chuo kikuu Tanzania wao ndio wakua mstari wa mbele kutetea hili lakin nao ni kundi badala ya kuwa kiongoz katika mabadiliko wanakua viongoz wa kwafwata hebu elimu itusaidie kidogo KUNA KUNDI LA WAPUUZI WANAJIITA TAHILISO HAWAJUI MBELE WALA NYUMA WAMEKUA KAMA SOX INAYO TUMIWA NA WANASIASA NA KUTUPWA WASIO JUA WAJIBU WAO HATA CHEMBE KILA CHUO MSHIRIKA KINALIPA 500000 kwa mwaka wanaishia kwenye vikao vikao na wao Hebu katika hili jaribun kufanya hata kama kwa unafki....]
 
Quality Assurance Unity ni organization ambayo kazi yake kubwa ni kuhakikish kuwa wanafunzi wanapata quality education I mean EDUCATION OF HIGH QUALITY. Organization hizo zipo kila chuo japokuwa yawezekana wanafunzi wengine ndan ya chuo kutojua kabisa issue hiyo, lakuni kila chuo hiyo kitu ipo. Sasa, organization zilizopo chuoni, zinafuatilia taaluma ndani ya chuo LAKINI, LAKINI ., TCU nayo ina kabinet yake ya Quality Assurance Ambayo kazi yake ni kufuatilia na kuhakikisha kwamba wanafunzi wanapata education of high quality KWA, narudia tena KWA , yaani KWA vyuo vyoye TANZANIA. Sasa cabinet hiyo ya TCU itafanyaje kazi?? I mean kufuatilia taaluma kwa vyuo vyote TANZANIA,, . Then ndugu yangu; ndo maana wanachuo wanatoa 20,000 kwa mwaka ili cabinet hiyo iweze kufanya kazi yake. Hope its clear.
r.[huo ni wiz ulio tukuka hivi watu mna dhan 20000 ndogo chuo cha sua peke yake kina wanafunzi karibia 10000 zidisha mara 20000 ujaenda Udom, Udsm na vyuo vingine karibia 50 eti quality assuarence hv inamaana iliserekali iweze hakikisha elimu inatolewa ya ufasaha ni lazima ilipwe kaziii ya serekali nini na shangaa sana wanafunzi wa chuo kikuu Tanzania wao ndio wakua mstari wa mbele kutetea hili lakin nao ni kundi badala ya kuwa kiongoz katika mabadiliko wanakua viongoz wa kwafwata hebu elimu itusaidie kidogo KUNA KUNDI LA WAPUUZI WANAJIITA TAHILISO HAWAJUI MBELE WALA NYUMA WAMEKUA KAMA SOX INAYO TUMIWA NA WANASIASA NA KUTUPWA WASIO JUA WAJIBU WAO HATA CHEMBE KILA CHUO MSHIRIKA KINALIPA 500000 kwa mwaka wanaishia kwenye vikao vikao na wao Hebu katika hili jaribun kufanya hata kama kwa unafki....]
 
ndo nini hiyo kitu? ni ya mwanafunzi au ya chuo kulipa na kwa nini ishuke kwa mwanafunzi. ni nani anatakiwa ku assure quality ya chuo ni mwanafunzi au chuo chenyewe

Kwa common sense chuo kilipe lakini wamempa mzigo mwanafunzi!
 
Wakuu hii ni rasmi tunaanza kulipa ada hii kwa TCU kiasi cha Tsh. 20,000/= kwa mwaka,

Tayari chuo cha MUST imetangazwa rasmi na chuo kikifunguliwa kila mwanafunzi wa Bachelor anatakiwa alipe, hali ikoje vyuo vingine?
Nawasilisha.
attachment.php

Hii ishu inanichanganya kichwa, TCU kwenye website ya hawajaweka hii kitu, pia njia ya malipo ndo inaniacha njia panda, mfano hapa chuo cha Eckernforde pese hiyo wanasema inapaswa kuingizwa kwenye ac/ ya. Chuo. Sasa ni vp nitathibitisha kuwa fwedha hii imewafikia hao TCU?
 
Back
Top Bottom