SANGI B
Member
- Sep 4, 2012
- 5
- 2
Tume ya vyuo vikuu Tanzania maarufu TCU,imethibisha kuwepo kwa majina ya 1st selection ambayo hayajafika vyuoni mpaka sasa.
Kwa wale wenzangu ambao wanatatizo kama hili,tumeambiwa tusubir tusiwe na wasiwasi maana hakuna kilicho haribika,majina yatatumwa vyuoni wiki hii.mm nilikwenda mojakwamoja kwenye ofis zao mikochen jana.:A S 465:
Kwa wale wenzangu ambao wanatatizo kama hili,tumeambiwa tusubir tusiwe na wasiwasi maana hakuna kilicho haribika,majina yatatumwa vyuoni wiki hii.mm nilikwenda mojakwamoja kwenye ofis zao mikochen jana.:A S 465: