TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania


pole sana kaka ndo dunia hiyo
 
hata me nimeckia hvohvo
 
hayo ya kawaida m nilikuwa sijui kama cbe nacho chuo kikuu! Tunasubir udsm na mzumbe ivyo vngne m cvjui
 
hayo ya kawaida m nilikuwa sijui kama cbe nacho chuo kikuu! Tunasubir udsm na mzumbe ivyo vngne m cvjui

mkuu mtu mwenyewe unaenda kusoma BAED! then unadharau vyuo vinginee! duuuuuh noumaaa sanaaaa
 
ndio naenda kupga baed lakn cwez kusoma bba ya cbe hata cku 1! Wanaoenda cbe n 50's
 
hayo ya kawaida m nilikuwa sijui kama cbe nacho chuo kikuu! Tunasubir udsm na mzumbe ivyo vngne m cvjui

mbona ulikuwa unaulizia kuhusu hostel za UDOM acha dharau ww usimcheke mamba kabla ya kuvuka mto! Kwani una div ngapi mpaka ujihakikishie UDSM
 
hayo ya kawaida m nilikuwa sijui kama cbe nacho chuo kikuu! Tunasubir udsm na mzumbe ivyo vngne m cvjui

Wakati mwingine nyamaza kimya ufiche ujinga wako. Kwani haujasoma orodha ya vyuo vilivyo chini ya TCU. Basi tumeshakujua kwamba ni mke wa kigogo hapa mjini!
 
huu ndo uungwana na uamuzi mzuri thank you
 
Habari ya tetesi: selection za vyuo TCU 2013/2014 zaweza kutangazwa hii leo au mapema kesho.
Jaribu kuingia kwenye account zenu za TCU mara kwa mara. Ila sasa hivi kama zimefungwa kwa muda kwaajili ya kujaza informations, perhaps za selection. Hongereni kwa watakao kuwa wamechaguliwa sawasawa na chaguzi zao na pole kwa watakaochaguliwa tofauti na chaguzi zao.
 

asante kwa kutujuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…