TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

Asante kwa taarifa njema! ila mpaka sasa bado account zinafunguka. anyway ngoja tusikilizie kaka.:smile-big:
 
Wanafunzi wengi walioomba kujiunga na vyuo vikuu kwa mwaka 2013/2014 walikosea kujaza masharti yaliyowekwa kwakuwa wengi hasa wamikoani waliwaomba ndugu zao wa dar au marafiki kuwajazia na pale inapotokea wameshindwa au wamekosea hawakutoa taarifa

Muda uliotolewa iliwarudie maombi kwa mara nyingine nao umepita na hakuna msamaha tena
 
Unauhakika na uyasemayo?? wewe ni mgeni jukwaa hili lasivyo usinge sema maneno haya, Mbute na chai ni moja ya watu wanao aminika jukwaa hili

hayo tumeshayamaliza mkuu then me nlimpinga pale aliposema eti profile hazfunguki wakati ya kwangu nikilog in inakubali kama kawaida mi naona umekurupuka ukuielewa coment yangu
 
Last edited by a moderator:
jipange Molembe! Mtu akidharau na yeye anadharauriwaaaa! So overrrr

Hujamdharau yeye umedharau hiyo kozi na wale wote wenye nia ya dhati ya kwenda kuisoma pamoja na mimi niliyeisoma.
 
Last edited by a moderator:
Acheni kukurupuka aisee someni post zlizopta kabla hamjapost za kwenu hii taarifa ful kujirudia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…