Ngaramtoni
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 430
- 61
ok lakin kama co siasa tcu up 2 nw hawaja sema lin watatoa majina ili wa2 wajiandae na hakuna anayejua kma chuo ni january o october coz kila mwenye mamlaka anasema lake eg. Ishu ya Jkt nan amesema kinachoeleweka nauliza!
mkuu mtu mwenyewe unaenda kusoma BAED! then unadharau vyuo vinginee! duuuuuh noumaaa sanaaaa
hv oil sumu n me au ke
-------- wewe kwani BA(ed) sio fani nzuri.Wacha dharau kichaa wewe.
pamoja na taarifa ya kutia matumaini,naomba kuuliza maswali mawili tu,1.selection zinztolewa na tcu au na vyuo husika?manake hapi sijajua selection tunasubiria tcu au kwenye respective college tulizo omba kama walivyofanya cbe.2.application wengine walifanya through tcu na wengine nacte,je selection zitatolewa nacte na tcu kwa wakati tofauti au itakuaje?nawasilisha
ndio naenda kupga baed lakn cwez kusoma bba ya cbe hata cku 1! Wanaoenda cbe n 50's
jaribu kufikiria utajua namaanisha nn!
ok lakin kama co siasa tcu up 2 nw hawaja sema lin watatoa majina ili wa2 wajiandae na hakuna anayejua kma chuo ni january o october coz kila mwenye mamlaka anasema lake eg. Ishu ya Jkt nan amesema kinachoeleweka nauliza!
We ulkua unataka uambiwe nini au uwelewa wako bado haujapanuka...jkt walishasema watatrain wanafunz wote waliomaliza 4m6 had kufikia january zoez ltakua lmekamilka...tcu nao walishatoa taarifa ya mabadiliko ya mihula ya masomo kuanzia mwaka huu vyuo vitapokea wanafunz kuanzia january...sas cjui unahtaj kuambiw na mjumbe wenu ndo uelewe
ok lakin kama co siasa tcu up 2 nw hawaja sema lin watatoa majina ili wa2 wajiandae na hakuna anayejua kma chuo ni january o october coz kila mwenye mamlaka anasema lake eg. Ishu ya Jkt nan amesema kinachoeleweka nauliza!
-------- wewe kwani BA(ed) sio fani nzuri.Wacha dharau kichaa wewe.
Ameisha omba msamaha.
Ameisha omba msamaha.
Wanafunzi wengi walioomba kujiunga na vyuo vikuu kwa mwaka 2013/2014 walikosea kujaza masharti yaliyowekwa kwakuwa wengi hasa wamikoani waliwaomba ndugu zao wa dar au marafiki kuwajazia na pale inapotokea wameshindwa au wamekosea hawakutoa taarifa
Muda uliotolewa iliwarudie maombi kwa mara nyingine nao umepita na hakuna msamaha tena