Ngaramtoni
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 430
- 61
pamoja na taarifa ya kutia matumaini,naomba kuuliza maswali mawili tu,1.selection zinztolewa na TCU au na vyuo husika?manake hapi sijajua selection tunasubiria TCU au kwenye respective college tulizo omba kama walivyofanya CBE.2.application wengine walifanya through TCU na wengine NACTE,je selection zitatolewa NACTE na TCU kwa wakati tofauti au itakuaje?nawasilisha