TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

Ndugu,hakuna awamu nyingine ya jkt kwa f6 leaver kwani hata walioko huko watahitimu mwishoni mwa mwezi huu ili wakajiandae na chuo na wengine wakajiunge diploma.Source;Wakuu wa kambi mbali mbali.
mkuu 2subiri kama jeshi nalo linaongea siasa!
 

Sawa kabisa hyo n sawa na mwanafunzi wa FEZA Anaelipa 5Mil na mwanafunzi wa Benjamin mkapa anaelipa 60,000. Huko UDSM Kuna malecturer wazur ila wanafunz wanalew sifa... mm nmesoma Benjamin mkapa ile ahule ina walimu wengi wa masters na degree holders diploma holders n wachache saaan but ukienda shule nyng za private weng wao n diploma holders but result zinajionyesha wazi utofaut... so you can compare UDSM and other higher learning Institutions kuptia mfano wangu huo wa secondry
 
Ndugu,hakuna awamu nyingine ya jkt kwa f6 leaver kwani hata walioko huko watahitimu mwishoni mwa mwezi huu ili wakajiandae na chuo na wengine wakajiunge diploma.Source;Wakuu wa kambi mbali mbali.

mkuu mm pia nimeongea na marafiki zangu wapo mgambo jkt wamesema ndo kwanza wanaanza kwata j3 tar 12! Bt mwez huu walikuwa kwenye introo! So bdo utataa, kuna mwingine yupo kambi ya kigoma anacema wanamaliza kwata week ijayo! So ngja tuone itakuajee sio unaconclude mja kwa mja mkuu Thema
 
Last edited by a moderator:

Na TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY je CHUO kimepew haki ya kurun certfcate diploma na degree ya micourse kibao alafu chuo hakina hostel ndo knatafuta, mazingira ovyo yaan kipo kama zile college za ghorofa ya 3 ila tofaut n kwamba wao wamechukua jengo lenye floor 5 peke yao
 

Okay bana,ngoja tusikilizie tushuhudie wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Wadau niko mbioni kwenda kusoma Tumaini kwa habar hizi inamaana hata hiki nilichonacho hakitakuwa na msaada, duuuu
 
Unapopost habar then unaifanya swali mombasa unaolewa ujue!acha biashara hizo
yaan jf cku hz ckjui imekuaje yaaan haaa haaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…