TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

Ndugu,hakuna awamu nyingine ya jkt kwa f6 leaver kwani hata walioko huko watahitimu mwishoni mwa mwezi huu ili wakajiandae na chuo na wengine wakajiunge diploma.Source;Wakuu wa kambi mbali mbali.
mkuu 2subiri kama jeshi nalo linaongea siasa!
 
Keep in mind walimu wengine wanapiga part time kwenye vyuo hivyo wakitokea vyuo vyenu vyenye GPA ndogo..kama mnavyo taka kusema....uko kwenu wanatoa ndoog uku wanatoa kubwa...

Huu ukiritimba wa mwanafunzi anasoma ... analipa ada yake vizuri ila wewe kwa kuwa ni mwalimu na ada pamoja na maisha yake ya baadae hayana impact una mdaka au basi tu kumuonyesha wewe ni lecture mkali au kujenga jina..
mzaha uo kwenye privete institute hawauchelei....unalipwa fundisha..wanafunzi waelewe ndio maana wanapata hizo GPA.

Sawa kabisa hyo n sawa na mwanafunzi wa FEZA Anaelipa 5Mil na mwanafunzi wa Benjamin mkapa anaelipa 60,000. Huko UDSM Kuna malecturer wazur ila wanafunz wanalew sifa... mm nmesoma Benjamin mkapa ile ahule ina walimu wengi wa masters na degree holders diploma holders n wachache saaan but ukienda shule nyng za private weng wao n diploma holders but result zinajionyesha wazi utofaut... so you can compare UDSM and other higher learning Institutions kuptia mfano wangu huo wa secondry
 
Ndugu,hakuna awamu nyingine ya jkt kwa f6 leaver kwani hata walioko huko watahitimu mwishoni mwa mwezi huu ili wakajiandae na chuo na wengine wakajiunge diploma.Source;Wakuu wa kambi mbali mbali.

mkuu mm pia nimeongea na marafiki zangu wapo mgambo jkt wamesema ndo kwanza wanaanza kwata j3 tar 12! Bt mwez huu walikuwa kwenye introo! So bdo utataa, kuna mwingine yupo kambi ya kigoma anacema wanamaliza kwata week ijayo! So ngja tuone itakuajee sio unaconclude mja kwa mja mkuu Thema
 
Last edited by a moderator:
Uuuwiiii TCU, njooni St. Johns Hq Dom, mpitie mafaili ya wanafunzi wanaopewa admission, Ni madudu tupu!!! Mtu f4 tena failure anasoma degree????? watu waliosoma kanumba colleges wapewa admission??? diploma and f6 failures wamejaa tele!!!!! MBA holders wanapewa uu-faculty dean????? TCU wake up ..........!!!!!

Na TANZANIA INTERNATIONAL UNIVERSITY je CHUO kimepew haki ya kurun certfcate diploma na degree ya micourse kibao alafu chuo hakina hostel ndo knatafuta, mazingira ovyo yaan kipo kama zile college za ghorofa ya 3 ila tofaut n kwamba wao wamechukua jengo lenye floor 5 peke yao
 
mkuu mm pia nimeongea na marafiki zangu wapo mgambo jkt wamesema ndo kwanza wanaanza kwata j3 tar 12! Bt mwez huu walikuwa kwenye introo! So bdo utataa, kuna mwingine yupo kambi ya kigoma anacema wanamaliza kwata week ijayo! So ngja tuone itakuajee sio unaconclude mja kwa mja mkuu Thema

Okay bana,ngoja tusikilizie tushuhudie wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Wadau niko mbioni kwenda kusoma Tumaini kwa habar hizi inamaana hata hiki nilichonacho hakitakuwa na msaada, duuuu
 
Unapopost habar then unaifanya swali mombasa unaolewa ujue!acha biashara hizo
yaan jf cku hz ckjui imekuaje yaaan haaa haaaa
 
Back
Top Bottom