Kimetah
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 1,049
- 189
mkuu 2subiri kama jeshi nalo linaongea siasa!Ndugu,hakuna awamu nyingine ya jkt kwa f6 leaver kwani hata walioko huko watahitimu mwishoni mwa mwezi huu ili wakajiandae na chuo na wengine wakajiunge diploma.Source;Wakuu wa kambi mbali mbali.