TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

Hili jukwaa ni muhimu sana ndugu zangu,ni moja kati ya jamvi muhimu sana kwa walio masomoni na hata wahitimu waliopo mtaani kama nyie vijana.
Najua hapa form six mpo wengi tu mkisubiri kujiunga na Elimu ya juu.
Ila kuna sintofahamu imezuka miongoni mwenu japo siyo wote,hii tabia ya kuanzisha thread bila hata kufikiri,leo hii kuna zaidi ya thread kumi zenye maudhui ya aina moja !! Mtu bila kusoma thread tangulizi kujua kinachojadiliwa ili kama anatatizo alitue hapo but huyoo kupost mara sijui breaking news....tetesi na kadha wa kadha.
Jf inategemewa na wengi kama ndio chanzo chao cha habari za uhakika, kwa trend hii huko mbeleni watu watashindwa kuiamini sababu ya post kamq ya huyu mleta mada. Unaleta kitu then unaishia kutukanwa kama hivi hii haipendezi na sio dalili njema,mleta mada jifunze kuitumia jamiiforums( hii hata kwa wenye tabia kama yako) jf ni kisima cha Elimu itumie vyema.
Hawa mliowakuta kama wangeweka nyuzi za ajabu ajabu sidhani kama leo hii jf ingekuwepo hapa ilipo ! Acheni hizo,hapa hatushindani kama fb wangapi wame like na ku comment.
Kumbuka nyie ndio mnategemewa kuja kuweka threads zenye manufaa kwa UMMA siku za usoni,sijui kwa uandishi huu utasadikika vipi ?
Litumieni vyema hili jukwaa.
NB:
Huu ni ushauri tu sitegemei kuanzisha majibizano na mdau yeyote hapa jamvini.
Wasalaaaam.

Mkuu umenena vyema kabisa wimbi hili la vijana wa kidato cha sita wanaoanzisha thread nyinginyingi zisizokuwa na source za taarifa zao na nyingi zikiwa ni za uzushi au habari za kusikia tu zinashusha hadhi ya jamiiforums...tafadhali sana kaka na wadogo zangu tunaotumia jukwaa la elimu na majukwaa mengine humu jf ninaomba tuwe na weledi katika vitu tunavyoviposti humu ndani mabishano na matusi hayajengi..na si vizuri kubishana katika jukwaa kwa jambo lisilokuwa na msingi ni bora ukae kimya tu kama wahenga walivosema "funika kombe mwanaharamu apite" nawasilisha
 
huyo aliye kupa hizo news ndiyo akuambie yy amepata wap habari hizo. sasa unapotuuliza sisi such a question...tunashindwa kutolea maelezo, so nakushauri next time ujipange kwanza ndyo uuulize wana Jf.
 
Matokeo yangu yako hivi... Bios D, Phys E, Chem D na S ya G.S na Bam.. Vigezo vilivyotolewa kwa chuo hiki ninavyo wakuu
 
ni matatizo ya mtandao tu, hali itakuwa vizuri baadae na hope appln yako itakuwa imepokelewa. hata kama utakosa kupitia tcu, bado watatoa nafasi ya watu kuomba moja kwa maoja vyuoni. Be patient!!!!
 
Habari zenu wakuu..
Jina langu lilikua ni miongoni mwa yale majina 8500 yanayotakiwa kufanya second aplication.. Nikafanya hivyo na kila kitu kilikua sawa.. Nikawa naitembelea profile yangu mara kwa mara.. Muda wote profile yangu ilikua sawa na nilijaza MD pale Bugando na YES wakaniwekea..!! Cha ajabu leo nimechek profile yagu pale kwenye Met Min Requirement wameniwekea NO.. Yaan cna vigezo na ile hali deadline imepita jana na jana hyohiyo nilichek profile yangu iko sawa!!
Naomba msaada wenu wakuu wa mawazo au hata mawasiliano ya haraka ya tcu..!!! Mpaka sasa Nimechanganyikiwa Sielew nianzie wap.. Wengine pia nawashauri mpitie profile zenu

Ingia 'View my selection status' angalia 'selection status' ukikuta 'processed' umeshachaguliwa, mengine ni technical problem
 
Habari zenu wakuu..
Jina langu lilikua ni miongoni mwa yale majina 8500 yanayotakiwa kufanya second aplication.. Nikafanya hivyo na kila kitu kilikua sawa.. Nikawa naitembelea profile yangu mara kwa mara.. Muda wote profile yangu ilikua sawa na nilijaza MD pale Bugando na YES wakaniwekea..!! Cha ajabu leo nimechek profile yagu pale kwenye Met Min Requirement wameniwekea NO.. Yaan cna vigezo na ile hali deadline imepita jana na jana hyohiyo nilichek profile yangu iko sawa!!
Naomba msaada wenu wakuu wa mawazo au hata mawasiliano ya haraka ya tcu..!!! Mpaka sasa Nimechanganyikiwa Sielew nianzie wap.. Wengine pia nawashauri mpitie profile zenu

hiyo ni Cutt off point ya 5 na hicho chuo wameshusha cut off point kutoka 7 mpaka 5 so upo illegible, lakini fatilia..
 
wanavyoandika wenyewe wanataka C ya chem (compasary) C ya bios na atleast F ya phy! sio mimi ni wao nenda kwenye ile no kaweke kile ki caser then utaona vigezo wanavyotaka!
 
Habari zenu wakuu..
Jina langu lilikua ni miongoni mwa yale majina 8500 yanayotakiwa kufanya second aplication.. Nikafanya hivyo na kila kitu kilikua sawa.. Nikawa naitembelea profile yangu mara kwa mara.. Muda wote profile yangu ilikua sawa na nilijaza MD pale Bugando na YES wakaniwekea..!! Cha ajabu leo nimechek profile yagu pale kwenye Met Min Requirement wameniwekea NO.. Yaan cna vigezo na ile hali deadline imepita jana na jana hyohiyo nilichek profile yangu iko sawa!!
Naomba msaada wenu wakuu wa mawazo au hata mawasiliano ya haraka ya tcu..!!! Mpaka sasa Nimechanganyikiwa Sielew nianzie wap.. Wengine pia nawashauri mpitie profile zenu

Usiwaze mkuu utapata chuo hiyo ni net prblm
 
First class sio issue ila sokoni wakoje wanafanya vema? GPA nzuri ni juhudi za mtu binafsi sio kubebwa mzee. wanafunzi wa Tumaini kwa darasa ni wachache na walimu wanafundisha mwanafunzi kuelewa sio kama vyuo vingine. hiki ni chuo cha pekee sana mzee
 
First class sio issue ila sokoni wakoje wanafanya vema? GPA nzuri ni juhudi za mtu binafsi sio kubebwa mzee. wanafunzi wa Tumaini kwa darasa ni wachache na walimu wanafundisha mwanafunzi kuelewa sio kama vyuo vingine. hiki ni chuo cha pekee sana mzee

huyu nae ataongea pumbagani tena
 
Naomba kwa mwenye fununu kuhusu tcu anitoe wasiwasi,ni kweli wiki ijayo wanatoa majibu?
 
Usiwe na wasisi, mda sahihi utafika wa majina kutoka na kuainisha ni chuo gani utakua umepangiwa.
 
usiwaze mkuu,2lia mana bado awamu ya tatu hawajaenda JWTZ
 
Join Date : 3rd August 2013
Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
KARIBU J.F...
 
usiwaze mkuu,2lia mana bado awamu ya tatu hawajaenda JWTZ

Ndugu,hakuna awamu nyingine ya jkt kwa f6 leaver kwani hata walioko huko watahitimu mwishoni mwa mwezi huu ili wakajiandae na chuo na wengine wakajiunge diploma.Source;Wakuu wa kambi mbali mbali.
 
Back
Top Bottom