Immortal_MH
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 1,240
- 2,252
mjambia mic wewe pu@&%,fu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inaonekana mleta thread ume-base kwenye hisia na 'hearsay',tupe chanzo cha hizo allegations zako kama ni utafiti au vipi? Inaonekana uko frustrated na competition iliyopo kwenye labour market
Hivyo jina la chuo ulichosoma siyo issue bali unapaswa ku-prove competence yako ili upate opportunity inayojitokeza
kwa wanaoenda CBE tayari majina yametoka na wanaripoti mwezi huu.
sasa TCU kuna watu pale?. Director wa Accredition & Quality Assurance Dr S. Maronga alinifundisha na alikuwa head of department yangu pale UDSM. Hamna kitu kichwan kabisa. waulize waliomaliza mining & MONERAL process kati ya 2000 na 2010 watakwambia.
tumain ndo utumbo kabsa...mdogo angu ana 4 ya 26 ameingia diploma ya business Admnstration....tumain elim yao mbovu yan nimewadharau aisee