Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 564
- 593
Source tafadhali.
not yet processed mkuuLogin kwenye cas acount yako mkuu.
jaribu tena, utakuta ni kama ulivozoea kuvikuta. No changesNimejaribu ku login lkn haifunguki tena je ndo unamaanisha ni selection?
, inaonekana vitu soon kuna link mpya tcu ukilog in kuna chat nzuri ya selection
hiyo link iko kwako tu,mbona sie wengne hatuioni?
we elank54,acha kuzingua bana,hakuna kitu kama hicho.
we elank54,acha kuzingua bana,hakuna kitu kama hicho.
kwahiyo uko kubadilika kwa course haija effect selection yako maana mimi mwenyewe nilikuta hivyo hivyo kama wewe...Mkuu kweli ni uzushi.Lakini mimi nimepiga simu leo kupata ufafanuzi wa kukuta kozi ambayo niliibadilisha lakini inaonekana kwenye account yangu.Niliambiwa kuwa admission officer pale TCU hayupo ila yule dada aliyepokea simu nilimuuliza kama selectio imefanyika akaniambia kuwa selection ilikwishafanyika kilichobaki ni kutangaza hayo majina.
kwahiyo uko kubadilika kwa course haija effect selection yako maana mimi mwenyewe nilikuta hivyo hivyo kama wewe...