TCU selection hizo!


mkuu,kuhusu selection me cna tabu nalo coz naelewa selection zmefanyika cku nying 2,ila huyu jamaa anae jiita elank54 kazingua kwa kutuwekea vitu hewa.
 

watoe selection mwez wa 9 na wkt chuo kama udsm 1st yr wanafungua tar 17/sept,maandaliz yatafanyika lini?
 
mkuu,kuhusu selection me cna tabu nalo coz naelewa selection zmefanyika cku nying 2,ila huyu jamaa anae jiita elank54 kazingua kwa kutuwekea vitu hewa.

Wengine humu jf waliingia kimakosa.
 
mkuu,kuhusu selection me cna tabu nalo coz naelewa selection zmefanyika cku nying 2,ila huyu jamaa anae jiita elank54 kazingua kwa kutuwekea vitu hewa.

???? Fungua web ya tcu mkuu cheki news pale kuna link mpya ...kama kwako haipo , kwangu ipo clear.. Btw kama unaona nazingua ntafte nikuoneshe mkuu
 
???? Fungua web ya tcu mkuu cheki news pale kuna link mpya ...kama kwako haipo , kwangu ipo clear.. Btw kama unaona nazingua ntafte nikuoneshe mkuu

we ipaste hapa kila mtu aione.
 
Unajua maana ya tetesi? Kukishakuwa na source si tetesi tena. Inaonekana wewe si great thinker. Au ndio wale wenye point za kuheng' waja jaza jamvi na mipresha yako hapa. Ebu kaone!

unajua maana ya tetesi..!? Ni habari zisozo rasmi zinaweza kuwa kweli au si kweli kwa kuwa nimepitia thread yako nimegundua kuwa wewe ni kilaza tena kiaziii kabisa xo kwa huu uzi wako ulio utoa ni moja kwa moja umeuto kwa walevi wenzako
 
we ipaste hapa kila mtu aione.

Mkuu visit tcu.go.tz, ikfunguka kuna news mpya ya LOGIN FOR HIGHER INSTITUTIONS ..Ukiclick io, endelea please click here utapata sehem ya kueka index no na passwd yako... Then left topside ikishafunguka kuna selectd students , clik tena apo itatokea chat ila HAIKO FILLED wit information na ndio maana at first nikasema inaonekana kitu soon
 

Hapo Tumeelewana, hata MiMi naionaga hiyo link ila nikiifata siambulii kitu nakuta feld zote ziko empt.
 
watoe selection mwez wa 9 na wkt chuo kama udsm 1st yr wanafungua tar 17/sept,maandaliz yatafanyika lini?

Mkuu nakuunga mkono coz hata SAUT wanafungua mwezi wa 9 tar 26.
 
Acha kiherehere. Huna taarifa kamili then unasema hizoooooooooooo!
 

lakini hii kitu ilikuwa hapo kitambo tu,ila nikijaribu kulogn haifunguki. Nadhani hii ni kwa vyuo tu.
 
Yani hizi topics za tcu siku hizi imekuwa ka fashion jukwaa hili kila mtu anatupia yake. Hebu na mie nitupie yangu ya kutafutia umaarufu.
 
Yani hizi topics za tcu siku hizi imekuwa ka fashion jukwaa hili kila mtu anatupia yake. Hebu na mie nitupie yangu ya kutafutia umaarufu.

itabidi MODEs wazi combine iwe moja, maana zina kera kwa kweli.
 
hlo ndo jibu sahih ambalo hata mm nilijibiwa,in addition wanawasubir HESLB ambao wapo kazin tangu tareh 15 july,watarelease pamoja
 

sasa siwatangaze wanasubiria nini!
 
sellection tayari imesha fanyika,majina ya walio kuia sellected yameplekwa bodi ya mkopo,then soon yatatangazwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…