TCU selection hizo!

Source ...HESLB HQ!!!! No more qns plz ..the end

unajua kama umekosa kaz ya kufanya humu nenda kaoge ulale,umeshupalia kesho kesho,hujui mnatia hacra wa2 km nyie wapumbavu wakubwa.
 
Kusema kwel me inaniuma saana kuona watu wanakuja hapa alafu wanaleta habari ambazo sijui wamezisikia wap kuhusu haya maselection.
Yan kama wangejua jinsi wanavowaweka watu roho juu especialy sisi tulioaply mwaka huu wasingekua wanafanya ivo kabisa..

Grow up guyz na mlete hapa habar mkiwa na uhakika na mlete na visibitisho basi coz thats hw great thinkez do..

NB:Mods plz do somethn abt thos pple
 
Hi, expectants. If you are failing to access tcu website, please be patient, keep on browsing it regularly.
 
I didn't get you well, but there are some informations being uploaded, not pretty sure if it's selection publication though it's one of the informations.
 
I didn't get you well, but there are some informations being uploaded, not pretty sure if it's selection publication though it's one of the informations.

i can't acces to tcu website what is the problem?
 
Ndo maana wakaweka kijineno "report post" so kama vp fanya kimya kimya#just sayn
 
kwa nin mkuu?

Kuna baadhi wameshindwa kupata udahili cas na nacte inawajibika kuwarudishia ada yao waliotumia kuingilia, hivyo hawana tena fursa ya kujiunga na vyuo. Oh, so sad. More info. Visit www.nacte.go.tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…