TCU SELECTIONS OUT "once and for all"

Ukitaka kujua umechaguliwa chuo gani"ingia kwenye profile yako ya tcu utakuta chuo ulichochaguliwa..
 
Sasa wadau mi kuna kitu sijaelewa hapa.Baadhi ya vyuo kama UDOM walikuwa wameshatoa majina ya selected applicants kwa chuo chao, na baadhi ya majina hayamo ktk hiyo list (kama langu) ila TCU wamesema nimechaguliwa UDOM.
Imekaa vp hiyo????
 
Sasa wadau mi kuna kitu sijaelewa hapa.Baadhi ya vyuo kama UDOM walikuwa wameshatoa majina ya selected applicants kwa chuo chao, na baadhi ya majina hayamo ktk hiyo list (kama langu) ila TCU wamesema nimechaguliwa UDOM.
Imekaa vp hiyo????

Kama uko dar ni vyema ukienda ofisini tcu direct kufuatilia hili tatizo..
 
Jamani naomba kwanza tumshukuru mwenyezi MUNGU kwa selection hizi kutoka salama na watu tumepata vyuo........wapo wengi wetu ambao mpaka sasa hivi wanalia kwa sababu ya poor performance ama sababu ya second round application!
Mimi binafsi nimeechaguliwa katika chuo cha usafirishaji kozi ya logistics and transport management.........
*thanks God*
 
Wanafunzi wote wa form 6,TCU wametoa matokeo,nenda kwenye profile yako angalia umechaguliwa wpi!
 
dogo kuna haja gani kianzisha uzi mara ya pili huku unachosema kimeshafunguliwa?
 
we dogo mwezako si kashaanzisha uzi kama wako au umekurupuka 2 bila kusoma ki2
 
we dogo mwezako si kashaanzisha uzi kama wako au umekurupuka 2 bila kusoma ki2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…