Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Tunaongelea chuo kikuu sio serikali. Acha kufananisha vitu visivyo fanana.Anaepaswa kuwa na PhD/Professor ni mwalimu/mkufunzi/mtaaluma wa somo husika, sio kiongozi. Kama ni hivyo Rais na mawaziri wangestahili kuwa maprofessor tu basi. Kiongozi ni yule mtu mwenye maono, PhD haifundishi kuwa na maoni bali utafiti tu basi. wewe ni mfano wa watu ambao hu\awajaelimika bali wamesoma.
Kama umeshindwa kufanya tafiti ili uwe prof tutaamini vipi kwamba utaweza kubuni vitu vya msingi tukikupa uongozi wa chuo?Elimu ninayo tele lakini hiyo haitoshi kuacha kusema ukweli kuhusu dhana halisi ya administration na management kwenye taasisi zetu za elimu. Unafahamu kuwa siku hizi hata PhD zinanunuliwa? Hoja hapa ni tuwe na maprofesa wengi vyuoni ili miongoni mwao wenye sifa za kuongoza washike nafasi za uongozi na sio kudhani kila professor au PhD anafaa kuongoza wengine. Mbaya zaidi inatokea kuwa professor hana sifa za kiongozi na ni mzee wa kutupwa/mstaafu. Huyu hata kumpa continuous education kuhusu uongozi haiwezekani, they do not penda mabadiliko, kwake yeye "present is known and secure"
[emoji3516]Saaa kama umeahindwa kupata PhD utaweza kukisogeza chuo mbele?
Nakubaliana na wewe kwamba wazee wapumzike lakini VC au uongozi wowote wa chuo au department lazima mtu awe na PhD!
Huwezi mpa Dr u VC wakati kuna PhD holder! Hiyo haiwezekaniki!
Na hapo vyuo ndio vitasonga mbele, watu wenye taaluma hizo Wana competencies za kuzivusha taasisi kuliko mtu mwenye PhD TU kwenye uhandisi wa machenical, chemical au medicine, nk.Yani tukupe uVC wa chuo wewe mwenye ka Masters ka MBA ka kuandikiwa dissertation? Ebo
ndio achana na hawa waganga[emoji3516]
MKUU,
"DR" NI PhD HOLDER.
Nili mix kidogo nilikua naongelea profesa sio PhD holder.[emoji3516]
MKUU,
"DR" NI PhD HOLDER.
Yaani eti kwakuwa chuo ni Cha Marine sciences, mkuu wa chuo lazima awe yule aliyebobea kwenye Marine sciences, hapo ndipo tunapokwama. Angalia pale muhimbili hadi Leo chuo kina campus moja tu nchi nzima hadi Leo, ona pale SUA hadi Leo nchi inalima vilevile vya kizamani, ona Ile faculty of engineering Ile faculty hawawezi hata kutengeneza sindano, hawana tofauti na VETA na SIDO. Kama serikali itaendelea na mtindo huu elimu yetu itapiga pingu. Watu wenye PhD na uprofesa wabaki madarasani, maabara, clinicals, workshops na fields na wanafunzi wao. Sio hivyo TU bali wafundishwe namna ya fundisha na kutahini walichokifundisha.Mawazo mazuri Sana ukuzingatia Na umasikini.wa vyuo vyetu havina ubunifu wowote wa kubuni miradi itakayosaidia chuoni kujiendesha
Tatizo langu sio mwenye PhD asiwe VC, shida yangu ni je, anasifa ya kuongoza chuo? Maana uongozi ni taaluma pia na una misingi/principles yake. Ni heri asiyekuwa na PhD mwenye sifa za kuongoza awe VC kuliko mwenye PhD asiyekuwa na ujuzi na sifa za kuongoza mwenye PhD aongoze chuo chenye population ya watu 5000 na kuendelea.University ni taassis ya elimu ya juu kabisa duniani na vyuo vyote duniani Kwa nafasi hizo muhimu viongozi wa juu huwa ni PhD au full Professor. Kwa mawazo yako unataka mtu yeyote Yule anayejua kusoma na kuandika kupewa kuongoza Taasis za elimu ya juu haitawezekana. ungetoa ushauri kwamba vyuo na serikali viweke mikajati ya kuandaa ma Dr na maprofessor wengi . Kwa mfano SUA ilikuepo ni chuo chenye ma Dr na Prof wengi Ila asimilia kubwa sasa ni retired na hawakuwekeza kuandaa replacement lecture hiyo ndio problem ya Tanzania.
Kwa akili yako mpaka taassis iitwe University tunategemea itakuepo na PhD n professor wa kutosha mfano SUA kipindi Mimi nipo pale ilisemekana kuna PhD holder zaidi ya 600 . Sasa Kati ya hawa wote hamna mwenye uwezo wa kuongoza . Chuo sio taasis ya kisiasa ni taasis ya elimu lazima iongozwe na msomiTatizo langu sio mwenye PhD asiwe VC, shida yangu ni je, anasifa ya kuongoza chuo? Maana uongozi ni taaluma pia na una misingi/principles yake. Ni heri asiyekuwa na PhD mwenye sifa za kuongoza awe VC kuliko mwenye PhD asiyekuwa na ujuzi na sifa za kuongoza mwenye PhD aongoze chuo chenye population ya watu 5000 na kuendelea.
Duu kwahiyo nyumbu 600 ni sawa na Simba mmoja? Wakati mwingine sifa za kuwa VC hazifahamiki zaidi ya kuwa Senior kitaaluma, yaani yule mwenye publications nyingi, professor wa muda mrefu na WA dini, kabila, Chama gani Cha siasa na rafiri wa anaemteua vinahusika sana.Kwa akili yako mpaka taassis iitwe University tunategemea itakuepo na PhD n professor wa kutosha mfano SUA kipindi Mimi nipo pale ilisemekana kuna PhD holder zaidi ya 600 . Sasa Kati ya hawa wote hamna mwenye uwezo wa kuongoza . Chuo sio taasis ya kisiasa ni taasis ya elimu lazima iongozwe na msomi
Duu kwahiyo nyumbu 600 ni sawa na Simba mmoja? Wakati mwingine sifa za kuwa VC hazifahamiki zaidi ya kuwa Senior kitaaluma, yaani yule mwenye publications nyingi, professor wa muda mrefu na WA dini, kabila, Chama gani Cha siasa na rafiri wa anaemteua vinahusika sana.
Haizulu basi angeambiwa angalau awe na hata kidiploma Cha uongozi au ikishindikana apelekwe ngurudoto akapate semina elekezi juu ya kuhudumia wenzake. Kosa la wanasiasa ni kudhani kuwa ukiwa professor basi unafahamu kila kitu hapa duniani, yaani professor hahitaji tena kuwa na teaching methodology, leadership and management skills au chochote maana anajua kila kitu, na hapo ndio tunapofeli, na elimu yetu inaishia hapohapo.
VC anaishia kukinga mikono apewe hela za tafiti, mishahara, kulipa umeme, maji na hata kujenga choo. Vyuo vikuu vinageuka ombaomba kwa vyuo vya Ulaya, wanaagiza hata vitabu vya kufundishia wanafunzi wao, hakuna Mwl anaeandika vitabu. Wanafanya tafiti za kughushi TU kwa kudandia zile za wanafunzi ili wapate promotion, tafiti zinazofungiwa makabatini badala ya kugeuka projects za kutatua shida za jamii walizoziona.
Pole sana, huu ni unyanyasaji wa wazee ambao walipaswa kupunzika nyumbani kwao labda na kufanya kazi ndogondogo za consultancy. Unamuonea huruma mzee anafundisha wanafunzi 300 kwenye darasa moja, Kisha atunge mtihani, kusahihisha scripts 300 ndani ya muda mfupi, Kisha aambiwe sijui a upload matokeo sijui wapi kwa wakati.Umeongea jambo zuri lakini yote kwa yote serikali itoe ruzuku kwa vyuo vikuu binafsi hasa vya dini ikiwemo kuwapeleka hao maprofisa vijana mfano mzuri kwenye sekta ya afya hospitali nyingi za makanisa serikali inavyo ajiri watumishi wa afya wengine wanapangiwa kwenye hizo hospitali pia wanapata vifaa tiba pamoja na madawa hivyo ndiyo ilibidi ifanyike kwenye vyuo vikuu vya binafsi mfano kile cha Mwanza yaani ndio chuo kikuu cha kanda ya ziwa lakini wanafunzi wanalipa miada mikubwa bila hata kuangalia na course mtu anayosoma mfano mtu wa education na sheria wote ni 2 milions na pia lecturers ni wazee watupu hata akiongea humsikii vizuri mdomo umechoka kuongea maana amefundisha tangia akiwa kijana hadi kazeeka na kastaafu UD.
Niliwahi kumuuliza mhadhiri mmoja nguli kutoka kitivo Cha uhandisi Cha chuo kimoja maarufu wakati wa maonyesho ya sabasaba, eti na wao wamekuja kuonyesha mashine za kufatulia matofali zilizofungwa motor kutoka china. Nikamuuliza hivi tofauti yenu na VETA, DIT, na SIDO ni ipi? Akasema serikali haitengi hela ya kufanya makubwa!! Maaalone!!! Yaani mawazo ya kukinga mikono yanawatafuna, ndio maana hata professor wetu hawezi kujiajili, analazimika kurudi kusajiliwa tena baada ya kustaafu na kuziba nafasi za vijana. Kuna professor mmoja namfahamu amefanya kazi miaka 24 baada ya kustaafu, yaani Sasa ana miaka 84 bado anaswagwa TU ili apewe ujira.Umeongelea teaching methodology, je unajua tofauti ya TEACHER na INSTRUCTOR?
Pia umewalaumu wasomi kwa kuomba misaada kwa vyuo vya nje, je wewe nchi yako imewahi kutenga kiasi gani ka ajili ya tafiti?
VC, DVCs, Deans na wakuu wa idara ni viongozi pia ambao kanuni, misingi, na mbinu zote za uongozi zinahitajika kutumika pia katika utekelezaji wa mpango mkakati wa kuelekeza chuo kwenye Vision na mission yake. Ndio vyuo vyetu havioni thamani ya Vision na mission ya vyuo, wanaona ni maandiko TUTunaongelea chuo kikuu sio serikali. Acha kufananisha vitu visivyo fanana.