Ulitozwa shs ngapi mpaka utoe lawama! dunia imekuwa ndogo mie nimeshajua nimechaguluwa kozi gani na chuo kipi.Hivi katika akili ya kawaida,airtell wanaweza kuchukua information tcu bila kulusiwa na tcu?ni jambo gumu sanaaaaaaaaaaa.lakin Tanzania maswala kama haya yamezoeleka sana,aya bwana,ukiwa kwenye system mambo safi,yaan watu wanawatumia wanafunzi kufanya biashara!du!:wave:
hivi hii huduma inapatikana hadi sasa hivi?
Hivi hii huduma inapatikana hadi sasa hivi?
Huduma bado ipo japokuwa kwa sasa hawaoneshi admission wanasema subiri official announcement.
no haipo
Tz!! unaziba kwenye dona watu wanatafuta mpenyo mwingine - taasisi ya serikali kuvujisha siri kwa kampuni tena moja - fair competition??!!