Hivi katika akili ya kawaida,airtell wanaweza kuchukua information tcu bila kulusiwa na tcu?ni jambo gumu sanaaaaaaaaaaa.lakin Tanzania maswala kama haya yamezoeleka sana,aya bwana,ukiwa kwenye system mambo safi,yaan watu wanawatumia wanafunzi kufanya biashara!du!:wave: