Tcu,wanaumiza kichwaaaaaaaaaaaaaaaa!kuna call for fourth selection!

KG.KASELO

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
252
Reaction score
20
Kwa mtililiko huu tcu mwaka huu,tutafika mpaka ''call fourth selection''.majanga mwaka huu,agizo la mweshimiwa rais wadail wanafunz wengi coz,kuna mapunguvu mengi ususan wahadhiri,sasa sijui loan bodi wanatosa watu,tcu nao vilevile,du!hivi kwa nini nchi hii aliyesoma anaweka vikwazo kwa wengine wasisome?tutafika kweli,ususan na hiyo jumuhiya ya afrika mashariki?wenzetu kenya wanazalisha vijana wengi,sisi tunabana.kwa nin?ushindani wa soko la ajira afrika mashariki lanzima tutoke kapa.nawasilisha.
 
topic haiendani na maelezo.
 
ueleweki! Umependa au haujapenda? Jipangeeee mkuu
 
Andika upya.. alafu hiyo keyboard yako ina matatizo eh.
 
kuwa unafikilia kwanza kwa kina unachotaka kukiandika co unakurupuka tu,xor kijana jpange.....
 
najaribu kutuliza akil labda nitakuelewa.... lakn naona huelewek kabxaaaa jipange tena
 

Arghhhhh.WTF!
 
Haraka ya nini chuo mpaka mwezi wa tisa mwishoni
 
Punguzeni presha,tcu watatoa,sio leo wala kesho.mwakani.
 
Ok,mada hiyo imeisha wakuu,kwahiyo tusubili tuone.
 

duuuh...
 
nkijaribu kuelewa nahisi kuumwa kichwa aisee! daah!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…