pumbavu pumbavu alieandika habari hii, mimi niko hapa udsm mwaka wa nne, na sikubaliani hata kidogo na huyo alieandika upuuzi hapo juu. chuo ni chuo, tunayosoma udsm na sua, na sauti na st.joseph, na udom , mazumbe ni hayo hayo. wakufunzi ni hao hao. niwaambie jambo moja ukishaanza kubagua wenzio, basi ubaguzi utakuja mpaka ndani kwenu. udsm hapa ndani ya chuo kuna ubaguzi ulikithiri, prof anajiona prof, docka hivo ivo, tutor ivovo. na si wanafunzi muda mwingi tunawakosoa walimu hapa kwamba hawajui kufundisha, hawajui vitu, wao ni theory tu.
Kwa mjadala wa kuTOKUchukua division 2, kwa kozi ya kijinga na ngwini kama sheria, sio sahihi , kama Coeti maenginia wanachukua mpaka div 3, kwa masoma ya hesabu ngumungumu, ndo ije sheria , sijui ,act, tax law, businesi law. ni vitu hata aliepata div o anaweza mudu. UBAGUZI MI SIPENDI, KILA SIKU NAWAAMBIA WANA UDSM WASIJIONE WAO NDO BORA MAANA HAMNA LOLOTE. ANGALIA RATE YA EMPLOYMENT IFM ,NA SAUTI ZIKO JUU. SHENZI KABISA WE MBWA UNAEFUNDISHWA NA KABUDI, MAJAMBA, KIFIMBO,SHAO,DR TULIA, .HAPA UDSM HAO WATU WASHERIA WANAJIDAI SANA, WANARINGA, WANAJIONA NI WA KIPEKEE. KWA HIYO MSIMSHANGAE HUYO NI TABIA ZAO HAO NA WALIMU WAO. WAJINGA TU NYIE SHERIA.
KWANZA NIWAPE SIRI HAPA UDSM HAO SHERIA WANAJENGO MOJA, MADARASA WANATUMIA YA WATU, HAWANA HATA COLLAGE, KAZI KUIBIA MADARASA YA SKUL NYINGINE, SHERIA HAMNA MAKAZI HAPA UDS ZAIDI YA HICHO KIGOROFA CHA OFISI SHENZI WE. NIMEKUJA UDSM KABLA YAKO MBWA WE