Hatua hiyo imekuja baada ya miaka ya hivi karibuni kuwa na malalamiko mbali mbali ya wadau wakiwamo wanafunzi wa vyuo vya private na hata vya serikali kuhusu uongezaji wa ada kiholera bila kufuata sheria na hali halisi ya mazingira,huduma na uendeshaji wa chuo husika source:ITV