<br /><br /><br />
<br /><br />
kumind lazima vanpopeye inawezekana kila siku tudanganywe?kwani tcu kunani au computer zote mbovu?Si waseme ukweli km kazi imewashinda,inasikitisha sana.
<br />Ila kweli,tar 4 haijaisha bhado!tuclaumu but mimi imani na tar 4 kwiisha hata kama watatoa maana walishatudanganya mwanzo!<br />
<br /><br />
<br />
<br />Tucklzie mpaka j3!teh teh kama hatujaambiwa matokeo mwez9 tar29!hahahaa<br />
<br /><br />
<br />
<br /><br />Hey guys nw ndo saa<br /><br />
ngapi? Or network leo<br /><br />
haipo mkao.? Myb<br /><br />
umeme? Au mkurugenzi<br /><br />
ajatoa final an0uncmnt? O<br /><br />
funguo za ofisi<br /><br />
zimepotea.? Aaah they<br /><br />
wont save da page aftr<br /><br />
condct, so wanaanza<br /><br />
m0ja.. Mungu ijalie<br /><br />
tanzania! Mungu ijalie jamii<br /><br />
hii.
<br />Wakuu tcu hawana jipya!kinachoboa zaidi wana toa tarehe na kututumia sms za kisiasa.'mara early july,mara sometimes july'hii ya tar4 nayo kali bora wangekaa kimya.wanaboa mpk bac.tujikaze wana tucje kuharibu swaumu zetu km hatuijui nchi yetu vile!
<br /><br /><br />
<br /><br />
siku inaanzia 00.00 lakini mpaka saa 6 hii hamna kitu,sijui kuna kidudumtu gani?au ndo tuseme tehama inatushinda?? Basi si watumie analog au manual kabisa!!!!!!
Boooh!!kumbe ni bora ingekua sistim ileile kila chuo kitoe tokeo lakeo lake TCU pumbaz!
Vyuo hivi MUM, UoA Na IRDP
wameliona hili hawakutaka sarakasi hizi za tcu..
<br />Boooh!!kumbe ni bora ingekua sistim ileile kila chuo kitoe tokeo lakeo lake TCU pumbaz!<br />
Vyuo hivi MUM, UoA Na IRDP<br />
wameliona hili hawakutaka sarakasi hizi za tcu..
<br />
Kabisa kaka,ila cshangai form siksi cc magugashi yalianzia tangu darasa la nne,la saba,form one mara oh,physics with chemistry mara eh,duuuh,sas wamejaribishia li TCU lao!<br /><br /><br />
<br />
<br />
Umesahau kuondolewa kwa b/k na commerce!!! Mitihani minne std 7,vitabu vipya kwenye mtihani wa kiswahili,topic mpya ya A/C mwezi wa saba,halafu na mwl kama logic,wa mbele nyuma na wa nyuma mbele.