Tcu

Msafiri Kasian

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
2,133
Reaction score
661
Nimeambiwa TCU wametoa majina ya watu wanaopaswa kurudia kufanya/kurekebisha application zao. Ntayapata wapi hayo majina?
 
Umeambiwa na nan,na umeambiwa lini?
 
Nimeambiwa TCU wametoa majina ya watu wanaopaswa kurudia kufanya/kurekebisha application zao. Ntayapata wapi hayo majina?

Alie kuambia ndio akuambie yanapatikana wapi sio anakukupa taarifa nusunusu
 
Mbona mnanishambulia hivyo? Aliyeniambia amesema alisikia kwenye kipindi cha magazeti redioni. Amesema ilitangazwa katika gazeti la mwananchi la jana tar 11. Sipo karibu na chanzo cha magazeti ndio maana nikaamua kuulizia huku kama kuna mwenye hizo data.
 
kwani kama umeweza kutumia intenet uko jf umeshindwaje kuingia kwenye WESITE YA TCU ACHA UVIVU !!!!!!!!!lazima watoe kwenye website yao.
 
kwani kama umeweza kutumia intenet uko jf umeshindwaje kuingia kwenye WESITE YA TCU ACHA UVIVU !!!!!!!!!lazima watoe kwenye website yao.

Jamani huko(TCU website) napita kila siku,hata mimi mwenyewe hizi taarifa sijaziona. Niliuliza kwasababu niliambiwa na kwenye tovuti yao sijaiona ndo maana nikauliza humu JF. Tafadhali usidhani kama mimi ni mvivu kama unavyodhani,kuuliza sio ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…