TCU

Natasher

Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
9
Reaction score
0
Jaman eti saiv hakuna kuchek"eligibility"kama ilivyokuwa last year?
 
Msaada jinsi ya kuchek "eligibility"tcu maana naangalia zle yes or no sizioni,msaada wadau
 
mtu hata kujieleza hujui ndio unataka kuingia chuo sasa? hili janga la kielimu.
 
Tumevamiwa humu ndani jamani . Ehee.
 
Hawajakuwekea yes na no kwa sababu you are eligible. Unataka kusoma digrii ya matusi ya stendi ama ya bandarini?
 
Halafu mtoto wa kike wewe. Dah, Mungu atusaidie na malezi na makuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…