Te Amo, Asprin, Fidel 80 na Klorokwin

Te Amo, Asprin, Fidel 80 na Klorokwin

Buji usijisahaulishe miungu minne marafiki wa karibu. Pombe, nyama, sigara na wanawake nasty. Ni lazima vyote viwepo ili raha kamili ipatikane
 
Raha ya tungi uone na midude(mademu) wanapita accross! Hom unakuwa na presha, washkaji wasijemtaman wife wako! Kwa mantik hiyo pombe haiwez noga
 
Naenjoy a glass of wine home kuliko Bar!
 
Nyumbani kuna watoto, baada ya kilevi watasikia yasiyostahili kusikika!
 
hao uliowataja wote hawanywei nyumbani eeh?..lol.
 
Waheshimiwa mabalozi wa maji yaletayo raha na burudani mwilini, naomba niwaulize swali, je ni kwanini pombe za kunywea nyumbani hazinogi hata lkama kuna marafiki, kitimoto na matusi juu?

Kwanini hatupigii mitungi home?

1. Home hakuna mabaamedi....huwezi mwambia mkeo......we ma**ya ongeza bia hapa (talaka si kitu kizuri)
2. Home hakuna kaunta..... raha ya biya unywee kaunta, walevi hawaangushani kaunta
3. Home hakuna meneja, kuna raha sana kumshtakia mhudumu kwa meneja........unapata heshima bar
4. Home hakuna keep change.........heshima ya mnywaji ni kumwachia mhudumu keep change
5. Home hakuna kutwangana makwenzi
6. Home hakuna kucheza na kujiimbia kwa sauti biya inapokuwa imeshika kasi
7. home hakuna pool table
8. Home hakuna chemba ya kutongozea kina Eliza
9. Home hakuna vinywaji tofauti tofauti, bia zikijaza matumbo hwa tunahamia kwenye valuu, red labe, nyagi na shangazi zao
10. Nyumbani kuna watoto, bia imeandikwa: Hairuhusiwi kwa binadamu mwenye umri chini ya miaka 18.
11. Home hakuna vyoo vya wanawake.........tunashea vyoo, inaweza sababisha ajali na watoto wetu...
Listi itaendelea, ngoja nikazimue...damn Guinness!!!:majani7::majani7::majani7:
5.
 
Badala yaa kuangalia vibindankoe
unaangalia TV....
 
Badala ya kusikiliza "banjuka tu"
unasikiliza "twinkle twinkle little star"
 
Kwanini hatupigii mitungi home?

1. Home hakuna mabaamedi....huwezi mwambia mkeo......we ma**ya ongeza bia hapa (talaka si kitu kizuri)
2. Home hakuna kaunta..... raha ya biya unywee kaunta, walevi hawaangushani kaunta
3. Home hakuna meneja, kuna raha sana kumshtakia mhudumu kwa meneja........unapata heshima bar
4. Home hakuna keep change.........heshima ya mnywaji ni kumwachia mhudumu keep change
5. Home hakuna kutwangana makwenzi
6. Home hakuna kucheza na kujiimbia kwa sauti biya inapokuwa imeshika kasi
7. home hakuna pool table
8. Home hakuna chemba ya kutongozea kina Eliza
9. Home hakuna vinywaji tofauti tofauti, bia zikijaza matumbo hwa tunahamia kwenye valuu, red labe, nyagi na shangazi zao
10. Nyumbani kuna watoto, bia imeandikwa: Hairuhusiwi kwa binadamu mwenye umri chini ya miaka 18.
11. Home hakuna vyoo vya wanawake.........tunashea vyoo, inaweza sababisha ajali na watoto wetu...
Listi itaendelea, ngoja nikazimue...damn Guinness!!!:majani7::majani7::majani7:
5.

Hahahhahh babu
nimependa number 10
 
Kwanini hatupigii mitungi home?

1. Home hakuna mabaamedi....huwezi mwambia mkeo......we ma**ya ongeza bia hapa (talaka si kitu kizuri)
2. Home hakuna kaunta..... raha ya biya unywee kaunta, walevi hawaangushani kaunta
3. Home hakuna meneja, kuna raha sana kumshtakia mhudumu kwa meneja........unapata heshima bar
4. Home hakuna keep change.........heshima ya mnywaji ni kumwachia mhudumu keep change
5. Home hakuna kutwangana makwenzi
6. Home hakuna kucheza na kujiimbia kwa sauti biya inapokuwa imeshika kasi
7. home hakuna pool table
8. Home hakuna chemba ya kutongozea kina Eliza
9. Home hakuna vinywaji tofauti tofauti, bia zikijaza matumbo hwa tunahamia kwenye valuu, red labe, nyagi na shangazi zao
10. Nyumbani kuna watoto, bia imeandikwa: Hairuhusiwi kwa binadamu mwenye umri chini ya miaka 18.
11. Home hakuna vyoo vya wanawake.........tunashea vyoo, inaweza sababisha ajali na watoto wetu...
Listi itaendelea, ngoja nikazimue...damn Guinness!!!:majani7::majani7::majani7:
5.
L....o.....l... Ukimalza kuzimua uje useme na wanawake kunywea bar, je na wao wanafwata nini?..
 
Kwanini hatupigii mitungi home?

1. Home hakuna mabaamedi....huwezi mwambia mkeo......we ma**ya ongeza bia hapa (talaka si kitu kizuri)
2. Home hakuna kaunta..... raha ya biya unywee kaunta, walevi hawaangushani kaunta
3. Home hakuna meneja, kuna raha sana kumshtakia mhudumu kwa meneja........unapata heshima bar
4. Home hakuna keep change.........heshima ya mnywaji ni kumwachia mhudumu keep change
5. Home hakuna kutwangana makwenzi
6. Home hakuna kucheza na kujiimbia kwa sauti biya inapokuwa imeshika kasi
7. home hakuna pool table
8. Home hakuna chemba ya kutongozea kina Eliza
9. Home hakuna vinywaji tofauti tofauti, bia zikijaza matumbo hwa tunahamia kwenye valuu, red labe, nyagi na shangazi zao
10. Nyumbani kuna watoto, bia imeandikwa: Hairuhusiwi kwa binadamu mwenye umri chini ya miaka 18.
11. Home hakuna vyoo vya wanawake.........tunashea vyoo, inaweza sababisha ajali na watoto wetu...
Listi itaendelea, ngoja nikazimue...damn Guinness!!!:majani7::majani7::majani7:
5.

Hongera babu,
nasikia siku hizi unaenda kanisani
ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom