FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.Nadhani si wote ni baadhi tu mkuuHiyo inaitwa nikanyage bahati mbaya nikuumize makusudi.
Wanawake wana roho mbaya sana,
hivyo vidubwashika vyao wanaviona kama pilau.
Ndio maana kuna madingi yanabandua ma hausi gelo hivi hivi.
Hiyo inaitwa nikanyage bahati mbaya nikuumize makusudi.
Wanawake wana roho mbaya sana,
hivyo vidubwashika vyao wanaviona kama pilau.
Ndio maana kuna madingi yanabandua ma hausi gelo hivi hivi.
Kwa hisani ya watu wa Marekani
Umeliona lile tangazo? Eti hata kusuluhisha matatizo ya ndoa tangazo linabidi lilipiwe na Uncle Sam,how low he have sunk.