Joline Jacky
Member
- Jan 23, 2014
- 19
- 1
Je wajua ni kwa nini walimu wa zamani hawakugoma ingawa mishahara yao ilikuwa ni midogo?
1:Tuliwapelekea kuni,
2:Tuliwachotea maji,
3:Tuliwalimia mashamba,
4:Tuliwafanyia kazi za nyumbani wote walikaa quarters,
5:Rambirambi walikusanya wao,
6:Tofali tuliwafyatulia hata za kuuza,
7:Tulifanya vibarua kukuza mradi wa shule ambao hatukujua matumizi,
8:Tuliwapelekea hata vitu kama kuku, mayai na maziwa Wazazi walitupa tukawapelekea.Mwalimu alitisha kuliko hata Polisi.
1:Tuliwapelekea kuni,
2:Tuliwachotea maji,
3:Tuliwalimia mashamba,
4:Tuliwafanyia kazi za nyumbani wote walikaa quarters,
5:Rambirambi walikusanya wao,
6:Tofali tuliwafyatulia hata za kuuza,
7:Tulifanya vibarua kukuza mradi wa shule ambao hatukujua matumizi,
8:Tuliwapelekea hata vitu kama kuku, mayai na maziwa Wazazi walitupa tukawapelekea.Mwalimu alitisha kuliko hata Polisi.