Team Alteza imekufa tangu JPM aingie madarakani.

Team Alteza imekufa tangu JPM aingie madarakani.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Nakumbuka kipindi hicho bado nipo seko

Hii team Alteza ilikuwa inatamba sana batani kila sehemu za bata wapo na ukitaka kujiunga nayo lazima na wewe uwe na Alteza

Nakumbuka kipindi hicho nilimsumbua sana mzee aninunulie alteza lakini akawa ananikatalia alikuwa anasema muda bado kwanza ,nisome kwanza.

Basi nikavumilia mpaka nikamaliza form six

Sasa ubaya umekuja sasa hivi gari ninayo ingawaje sio Alteza lakini hii team Alteza imekufa tangu huyu magufuli awe rais

Nimeimiss sana team Alteza natamani leo kesho irudi tena kwenye chati ili ninunue alteza nijiunge nayo.
 
Nakumbuka kipindi hicho bado nipo seko

Hii team Alteza ilikuwa inatamba sana batani kila sehemu za bata wapo na ukitaka kujiunga nayo lazima na wewe uwe na Alteza

Nakumbuka kipindi hicho nilimsumbua sana mzee aninunulie alteza lakini akawa ananikatalia alikuwa anasema muda bado kwanza ,nisome kwanza.

Basi nikavumilia mpaka nikamaliza form six

Sasa ubaya umekuja sasa hivi gari ninayo ingawaje sio Alteza lakini hii team Alteza imekufa tangu huyu magufuli awe rais

Nimeimiss sana team Alteza natamani leo kesho irudi tena kwenye chati ili ninunue alteza nijiunge nayo.
Kwa muda km huu, huwezi kuleta mada km hizo hapa...
Leta mada za manufaa kwa watu wote...
We km umenunuliwa gari tulia tafuta maisha....
Acha kutamba bhana....
Leta mada ambazo kila mtu anaweza changia kwa moyo mmoja

iPhone 6s
 
Kwa muda km huu, huwezi kuleta mada km hizo hapa...
Leta mada za manufaa kwa watu wote...
We km umenunuliwa gari tulia tafuta maisha....
Acha kutamba bhana....
Leta mada ambazo kila mtu anaweza changia kwa moyo mmoja

iPhone 6s
kuna mgawanyo wa majukwaa.
 
Back
Top Bottom