warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Ni judith wambura mbibo au LADY JAYDEE,huyu mwanadada ana a.k.a zaidi ya tatu alianza na BINTI.MACHOZI,akalia weeee hatimaye akawa COMMANDO,kwenye ucomando akafaulu hadi kufikia kuitwa ANACONDA kweli alikuwa ni balaa,kama haitoshi akaunda team,TEAM ANACONDA,team inayotikisa jiji la dar es salaam kama sio tanzania,kama unabisha muulize ruge na kusaga walivyoweweseka na hii team.sasa kila mtu apa town kaunda TEAM.elizabeth michael au lulu na yeye kaunda team yake inayokwenda kwa jina la HOT LULU MICHAEL TEAM,mshiriki wa big brother the chase naye kaunda team yake inayokwenda kwa jina la FEZA TEAM,nando naye NANDO TEAM,nikasema duuuh hayo yote sababu yaaaaa?????