Team CrownTz mnafanya kazi ya bure kuitangaza Toyota Crown. Hakikisheni mnalipwa

Team CrownTz mnafanya kazi ya bure kuitangaza Toyota Crown. Hakikisheni mnalipwa

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Kwa upande mmoja nimependa Idea ya kuwa na group la wapenda magari aina ya Toyota Crown hadi kuweza kufanya charity events.

Ila ninasikitishwa na promo ya bure mnayotoa kwa kampuni ya Toyota kizembe.

Hata vyombo vya habari vinavyowaalika kuzungumzia kundi lenu navyo pia vinajidhulumu haki zao za pesa za matangazo.

Tunalia mambo ya wasanii kunyonywa kazi zao ila kuna mambo mengi tunafanya bila kujua tunatumika kumtajirisha mtu.

Tafadhali Team CrownTZ fanyeni namna nanyi mlipwe kwa marketing ya bure mnayofanya.

Screenshot_20240718-223430_Instagram.jpg
 
Hayawezi tena kuwekwa kwenye revenue ya kiwanda. Wewe gari za miaka ya 2000 huko kiwanda kinahusika na nini? Maana yake hizo tunawasaidia tu kupunguza takataka.
Ni sawa, nachosema ni kwamba it creates a room for more sells, tunachukua used japan, mjapan nae anachukua brand new dukani. Hichi na nachokiona
 
Back
Top Bottom