Team CrownTz mnafanya kazi ya bure kuitangaza Toyota Crown. Hakikisheni mnalipwa

Wewe utakuwa na matatizo ya akili.Watu wameamua kukisifia kitu wanachokipenda na kukimiliki unawezaje kusema wanachofanya ni upumbavu?
Kwa akili kama hii yako tutaendelea kuwa na wachuuzi wa bidhaa za China tu. Yaani watu hadi wanapata vipindi kwenye radio stations kubwa za nchi hii kuongelea Toyota Crown wewe unaona sawa tu? Hata hizo radio stations ni za kipumbavu sana kutoa matangazo bure ya biashara.
 
Jaribu kutumia hilo fuvu.Hao wanaoitangaza na kuisifia Toyota crown wanafanya kwa mapenzi yao lengo lao sio kujipatia faida kutoka Toyota, ndio maana hawalalamiki kutolipwa.
Radio zinawakaribisha hao jamaa ili kupata content ya kuvutia wasikilizaji wao.
Toyota hawezi kukulipa wakati hajakupa kazi,maisha sio rahisi hivyo.
Narudia tena,tumia hilo fuvu.
 
Sio atumie TU, bali alitumie vizuri.
 
Wewe ni miongoni mwa watanzania wengi ambao hamtaki kubadilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…