MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
-
- #21
Kwa akili kama hii yako tutaendelea kuwa na wachuuzi wa bidhaa za China tu. Yaani watu hadi wanapata vipindi kwenye radio stations kubwa za nchi hii kuongelea Toyota Crown wewe unaona sawa tu? Hata hizo radio stations ni za kipumbavu sana kutoa matangazo bure ya biashara.Wewe utakuwa na matatizo ya akili.Watu wameamua kukisifia kitu wanachokipenda na kukimiliki unawezaje kusema wanachofanya ni upumbavu?
Jaribu kutumia hilo fuvu.Hao wanaoitangaza na kuisifia Toyota crown wanafanya kwa mapenzi yao lengo lao sio kujipatia faida kutoka Toyota, ndio maana hawalalamiki kutolipwa.Kwa akili kama hii yako tutaendelea kuwa na wachuuzi wa bidhaa za China tu. Yaani watu hadi wanapata vipindi kwenye radio stations kubwa za nchi hii kuongelea Toyota Crown wewe unaona sawa tu? Hata hizo radio stations ni za kipumbavu sana kutoa matangazo bure ya biashara.
Anaendesha maisha kwa hela ya ikulu huyo. Ndio faida ya kuwa chawa aliyepitiliza.Wewe unavyojiita samia kuna anaekulipa?
Sio atumie TU, bali alitumie vizuri.Jaribu kutumia hilo fuvu.Hao wanaoitangaza na kuisifia Toyota crown wanafanya kwa mapenzi yao lengo lao sio kujipatia faida kutoka Toyota, ndio maana hawalalamiki kutolipwa.
Radio zinawakaribisha hao jamaa ili kupata content ya kuvutia wasikilizaji wao.
Toyota hawezi kukulipa wakati hajakupa kazi,maisha sio rahisi hivyo.
Narudia tena,tumia hilo fuvu.
Wewe ni miongoni mwa watanzania wengi ambao hamtaki kubadilika.Jaribu kutumia hilo fuvu.Hao wanaoitangaza na kuisifia Toyota crown wanafanya kwa mapenzi yao lengo lao sio kujipatia faida kutoka Toyota, ndio maana hawalalamiki kutolipwa.
Radio zinawakaribisha hao jamaa ili kupata content ya kuvutia wasikilizaji wao.
Toyota hawezi kukulipa wakati hajakupa kazi,maisha sio rahisi hivyo.
Narudia tena,tumia hilo fuvu.