Hili kama ghetto la nandy na billnasWanaanzaga hivi hivi mara utasikia kuna mwenyekiti na katibu wa timu tayari. Mkitahamaki tayari kuna beef baina ya wawili hao. Mbaya zaidi waanzishaji hizi team huwa wala hawawajui wahusika kibinafsi lakini hushupalia ugomvi mpaka hata kudiriki kupigana sababu ya mtu ambae hata hawamjui.
Ila hii yote huwa ni athari ya kukosa kazi ya kufanya na kuwa na uhakika wa kula na kulala aidha kwa wazazi ama sebuleni kwa shemeji.
View attachment 979552
Mfano wa Wenyeviti na Makatibu wa ma team.
Nilandika Uzi hapa kuhusu show ya Embu nikashangaa ndani ya dakika mbili ushafutwa.Jaman ee show ya mombasa sijui nairobi mbona sioni uzi wa lile nyomiii??????
Nilandika Uzi hapa kuhusu show ya Embu nikashangaa ndani ya dakika mbili ushafutwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaahahah Bora hili halina vitu vurugumechi
Watoto wamenona tayar kwa kuliwaWanaanzaga hivi hivi mara utasikia kuna mwenyekiti na katibu wa timu tayari. Mkitahamaki tayari kuna beef baina ya wawili hao. Mbaya zaidi waanzishaji hizi team huwa wala hawawajui wahusika kibinafsi lakini hushupalia ugomvi mpaka hata kudiriki kupigana sababu ya mtu ambae hata hawamjui.
Ila hii yote huwa ni athari ya kukosa kazi ya kufanya na kuwa na uhakika wa kula na kulala aidha kwa wazazi ama sebuleni kwa shemeji.
View attachment 979552
Mfano wa Wenyeviti na Makatibu wa ma team.
Harmonize ni mkali anaimba vitu vyamana sio mauchafuuchafu kama ya mondi Na rayvanHizi timu zitakuwa Kali Sana. Ni pale Harmonize atakapoamua kuitupa WCB na kuamua kujitegemea kimuziki, itakuwa patashika nguo kuchanika ukisingatia kuwa wore ni wakali wa Bongofleva na Mara kadhaa baadhi ya mashabiki wamekuwa wakidiriki kusema kuwa Harmonize anamfunika Diamond kwa kuimba mashairi yenye mvuto na ya kukonga nyoyo za watu.
Mimi siyo mwamzi lakini wacha tusubri muda utasema pale tu wawili Hawa watakapotengana na Kila mmoja kuamua kupiga muziki kivyake