Ancient Knowledge
Member
- Sep 5, 2016
- 39
- 34
Yooah..
Habari zenu wana jamvi!!!
Ivi tatizo la ALI KIBA ni nin hasa??
Uyu mtu mie ni shabiki wake sana ila ana niangusha kinoma noma.. Uku mtaani sie team kiba tunaumbuka. Tangu WASAFI FESTIVAL ianze atuna amani kabisa.
Kwanin na yeye asianzishe ata festival yake jamaani??? kwanin kila siku siye na majonzi.. ata kama watu watakua wachache aijalishi cha msingi tujisikie furaha.
Au nyie mnaonaje Team Kiba wenzangu?? Uyu ni kijana wetu inabidi tumpiganie.
Yooahh!!!!
Habari zenu wana jamvi!!!
Ivi tatizo la ALI KIBA ni nin hasa??
Uyu mtu mie ni shabiki wake sana ila ana niangusha kinoma noma.. Uku mtaani sie team kiba tunaumbuka. Tangu WASAFI FESTIVAL ianze atuna amani kabisa.
Kwanin na yeye asianzishe ata festival yake jamaani??? kwanin kila siku siye na majonzi.. ata kama watu watakua wachache aijalishi cha msingi tujisikie furaha.
Au nyie mnaonaje Team Kiba wenzangu?? Uyu ni kijana wetu inabidi tumpiganie.
Yooahh!!!!