sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Kwanza nianze kwa kudkrea interest Mimi ni mwachadema kindaki ndaki nilitejiunga na chama Cha demokrasia na MAENDELEO Mwaka 2011 nikiwa chuo kikuu Mwaka wa kwanza.
Wakati tunajiunga tulikuwa vijana wengi, tusio pungua Saba wakiwemo wakina Lijualikari na wengine wengi ambao baadhi wameisha unga mkono juhudi lakini badhi yetu Bado tuna kilinda chama hiki kwa wivu mkubwa paspo kupanda majukwani.
Kwa namna ya pekee lazima tukili yakuwa miaka 2011 chadems kilikuwa kinavuma sana vyuo vikuuu CHINI ya usimamizi wake makini Dr Slaa kama mtendaji wake mkuu wa chama na wasaidizi waking Regia Mtema Mwenyezi Mungu amrehemu, Katibu mkuu wa Sasa ndugu John Mnyika na wengine waliokuwa watendaji pale OFISINI makao makuu na ndio walio tupokea chamani. Binafsi na wenzangu wote Kai zetu za uhanachama zilisainiwa na John Mnyika na Regia Mtema.
Sisi ndo waasisi wa kitu kinaitwa chaso siku hizi nayo sidhani kama IPO maana wasomi wa Leo wako tayari kuongozwa na mataila.
Moja ya changamoto tulipo maliza vyuo vikuuu ni jinsi ya kupenetret katika majbali ya siasa ambayo yaliisha jitanabaisha yakuwa yo ndo miamba ya siasa kwa kuwa wabunge na viongozi wa Kanda mbali mbali iwe uweze toboa?
Njia pekee ilikuwa ni either usubilie Lema Afe, hence Afe, wenje Afe, msigwa Afe ndo wewe uweze kupenya kuwa mtu Ili lilidhilika hata mwenzetu kufikia hatua y kuwa diwani au mbunge kule kilombero ilikuwa ni baada ya vifo u kifo Cha mbunge ndipo alipopata fursa ya kugombea maana chama hakikuwa na option zaidii ya yule bwana sipendi kumwandika majina yake maana alitusaliti.
Changamoto hii Mh mbowe amekuja kuiona ila is too late,wale vijana alio wagrow na kuwapa position wapo waliosaliti, wapo walio kuwa na mpango wa kuwa waaini dhidi yake ndani ya chama, kwa ufupi mbowe is too late or not, lazima ajifunze kugrow watu withi a specific period of time Ili kuondoa kiburi kwa watu kama akina peter msigwa, God bless Lema na wenzake ambao waliisha amini bira wao Kanda hazipo,
Mtu kama lema kweli alikuwa wa kukimbia uchaguzi wa Kanda hata KUPIGA kura aliona aibu akakimbili Canada kwa mkewe?
Pamoja na makosa y Mbowe yaliyomfanya akachelewa nampongeza kwa kushutukia mchezo mchafu na Nina amua kumuunga mkono miaka yake mitano aondoke
Sasa ninauliza nani asie penda kufanya mapenzi? Raha y penzi ni mshenyentano raha ya siasa ni boksi la kura team tundu lisu jiandae kushenyentwa kwenye boski la kura kwa Nini mnalazimisha ajitoe?
Wakati tunajiunga tulikuwa vijana wengi, tusio pungua Saba wakiwemo wakina Lijualikari na wengine wengi ambao baadhi wameisha unga mkono juhudi lakini badhi yetu Bado tuna kilinda chama hiki kwa wivu mkubwa paspo kupanda majukwani.
Kwa namna ya pekee lazima tukili yakuwa miaka 2011 chadems kilikuwa kinavuma sana vyuo vikuuu CHINI ya usimamizi wake makini Dr Slaa kama mtendaji wake mkuu wa chama na wasaidizi waking Regia Mtema Mwenyezi Mungu amrehemu, Katibu mkuu wa Sasa ndugu John Mnyika na wengine waliokuwa watendaji pale OFISINI makao makuu na ndio walio tupokea chamani. Binafsi na wenzangu wote Kai zetu za uhanachama zilisainiwa na John Mnyika na Regia Mtema.
Sisi ndo waasisi wa kitu kinaitwa chaso siku hizi nayo sidhani kama IPO maana wasomi wa Leo wako tayari kuongozwa na mataila.
Moja ya changamoto tulipo maliza vyuo vikuuu ni jinsi ya kupenetret katika majbali ya siasa ambayo yaliisha jitanabaisha yakuwa yo ndo miamba ya siasa kwa kuwa wabunge na viongozi wa Kanda mbali mbali iwe uweze toboa?
Njia pekee ilikuwa ni either usubilie Lema Afe, hence Afe, wenje Afe, msigwa Afe ndo wewe uweze kupenya kuwa mtu Ili lilidhilika hata mwenzetu kufikia hatua y kuwa diwani au mbunge kule kilombero ilikuwa ni baada ya vifo u kifo Cha mbunge ndipo alipopata fursa ya kugombea maana chama hakikuwa na option zaidii ya yule bwana sipendi kumwandika majina yake maana alitusaliti.
Changamoto hii Mh mbowe amekuja kuiona ila is too late,wale vijana alio wagrow na kuwapa position wapo waliosaliti, wapo walio kuwa na mpango wa kuwa waaini dhidi yake ndani ya chama, kwa ufupi mbowe is too late or not, lazima ajifunze kugrow watu withi a specific period of time Ili kuondoa kiburi kwa watu kama akina peter msigwa, God bless Lema na wenzake ambao waliisha amini bira wao Kanda hazipo,
Mtu kama lema kweli alikuwa wa kukimbia uchaguzi wa Kanda hata KUPIGA kura aliona aibu akakimbili Canada kwa mkewe?
Pamoja na makosa y Mbowe yaliyomfanya akachelewa nampongeza kwa kushutukia mchezo mchafu na Nina amua kumuunga mkono miaka yake mitano aondoke
Sasa ninauliza nani asie penda kufanya mapenzi? Raha y penzi ni mshenyentano raha ya siasa ni boksi la kura team tundu lisu jiandae kushenyentwa kwenye boski la kura kwa Nini mnalazimisha ajitoe?